Recent content by yangson

  1. Y

    SoC04 Ufisadi utungiwe sheria kali kuliko makosa yote nchini

    Ufisidi ni janga kubwa sana linalofanya kazi ya kukandamiza Taifa letu lishindwe kuinuka kwa haraka maana nguvu nyingi inatumika kufanya mambo ambayo ingepaswa kutumika nguvu kidogo tu. Miondombimbinu mibovu, kutumia fedha nyingi kununua bidhaa nje haya na mengine mengi ndiyo matunda yatokanayo...
  2. Y

    SoC03 Zumaridi ni kipimo kwa watu wenye akili na serikali kujirudi na kujitafakari upya

    Mmh ahaah..sidhani kama serikali ina mhukumu zumaridi kwa Yeye kujiita Mungu..ila kuna sababu ndani yake kama kuwafanya wanafunzi wasiende shule n.k na pia hongera kwa ujuzi wako wa uandishi ila kama kweli Zumaridi ni Mungu basi acha ajitetee mwenyewe maana umesema nafasi za utume n.k milango...
  3. Y

    Namna ya kuweka andiko lako ndani ya jukwaa la Stories of Change

    Habari zenu nyote..Mbona nikitaka kupost ujumbe wangu menye hiyo mnayo ielekeza siipati au ndiyo mda wake umekwisha?
Back
Top Bottom