Leo naomba tuangalie na kujiuliza na kujijibu baadhi ya maswali yanayoonekana kuwatatiza watu wengi.
1. Mimi ni nani?; Mimi ni nafsi, mwili na roho.
2. Nimetoka wapi?; Nimetoka kwa Mungu Mkuu.
3. Amenileta kufanya nini hapa duniani?; Kufanya kazi yake ya kipekee ambayo hakuna mwingine...
Bado anakupenda na anakuhitaji pia ni wewe tu ndiyo ulimtelekeza. Alafu embu tafuta uzi wangu wa "wa dalili za mtu anayekaribia kufa" soma alafu nitakuja kukushauri kitu cha maana.
Ok, Mungu anisaidie. Kama alivyo saidia Mr 7seven hapo chini kwa usahihi kwa msaada wa Mungu, naomba niongezee kidogo. Kuwa shule maana yake ni kuwa kwenye maandalizi ya kuingia hatua nyingine ya juu zaidi. Kukaribishwa kwenye darasa la somo la kiswahili, maana yake Mungu anakutaarifu kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.