Recent content by Village fooler

  1. Village fooler

    Lissu anapotosha watu

    Jibu hoja kipi Ni Cha kipuuzi hapo?
  2. Village fooler

    Lissu anapotosha watu

    Akikujib unitag
  3. Village fooler

    SI KWELI Ukihisi harufu ya wali au mchele uwapo porini ni ishara kuwa Chatu yupo karibu

    Late 1990s mama yangu aliwai nambia kitu kama hicho
  4. Village fooler

    Nilichobaini kwa watu wa Njombe

    Noted! Ntakuja ck moja
  5. Village fooler

    Jipatie CCTV Camera Bora na za kisasa uweze kutizama eneo lako kila unapokwenda kwa gharama rafiki

    Je hizi camera naweza kuziweka sehemu ambapo hapana umeme?? Kwamfano Mimi stoo yangu haina umeme
  6. Village fooler

    Hapa serikali imefikiri mpaka mwisho, imekuja na dawa ya kuzivusha Simba na Yanga

    Jezi za mamelody ndo Ni na Cha kunifanya hawana period!!
  7. Village fooler

    Dola ya Kimarekani inakimbilia 2,600 Tshs muda huu!

    Kwani ndicho kiini hasa kisababishacho njaa
  8. Village fooler

    Tuelezane; Mwaka 2024 una malengo gani umepanga kutimiza

    Duh!! 2023 was a great year ever ina my life malengo niliyoyapanga yote yametimia hyo 2024 sijui itakuaje tuu ila I hope it will all be good!
  9. Village fooler

    Msaada: Kichwa kinawaka moto kwa mawazo, nakosa usingizi

    Hivi toka 2018 mpaka sasa ni miaka 15 imepita ee?? Au nimimi kichwa kinawaka Moto sielewi Anyway we kinachokusumbua ni kukosa ajira umehitim chuo unaona wenzako mliomaliza nao shule wengi wamepata ajira wengine wana maisha safi we kwa upande wako score board bado inasoma 00 hapo mdo unazid...
  10. Village fooler

    Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

    Hapo unapokatia tamaa mafanikio yako mbele yako huko unakohamia unaenda kuanza upya! Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga make hata huko uendako bado huna uhakika wa kutoboa.
  11. Village fooler

    Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

    Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana!! Kama ukiishakutambua vyote ni vya bwana basi ili uvipate mtegemee bwana
  12. Village fooler

    Huyu demu au jini maana simuelewi

    Kama ukimpa hela anakataa huyo ilni jini ndugu yangu kaa nae mbali wangekua ni hawa binadam tunaowafaham hawawez kataa hela.
Back
Top Bottom