Sawa lakn bado kuna vitu private unakuta vimefichika ambapo hata wazee wanaweza kuvigundua ila tu kwa masirahi yao wakafunga mdomo ukashikishwa ukiamin upo sehemu salam kumbe hamna
Awap tena hao wa kutafutiwa ndo hovyo kabisa tuulize sisi, mimi, binamu kaka ang na mtoto wa mjomba wote tumeshilikisha wazee ktk kupat wenza wetu lakn tuliyoyashuhudia hakuna mwenye hamu tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.