Recent content by The Monk

  1. The Monk

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Uangaliwe vizuri huo unaouita upendo au kujali wazazi Kwa huyo mtu.
  2. The Monk

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Hiyo ajenda nilishakwambia inahitaji kuunganisha nguvu za Mzee wa upako, Buldoza Mposa Boy, Gwaji na maombi yenu wote. Kwa Leo mtuache kidogo tujadili upendo wa huyu 🐶
  3. The Monk

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Lakini wote dogs. Hii story Haina Cha codes Wala Nini, ni mbwa kabisa huyu mnyama watu wanafunga na wengine mnatufananisha nao ndio ame show love to this extent imagine. Upendo wa dhati uliopelekea umauti hadi akafia kwenye kaburi la boss wake. So touching story
  4. The Monk

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Yaani ni dogi kabisa, sema tu yeye sio mkia mbele. Nipo salama namshukuru Mungu sana. Bila shaka na wewe umekaa sawa
  5. The Monk

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Ukiwajali wazazi utajali wengine pia
  6. The Monk

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Kapeace njoo uone upendo wa dhati huku...
  7. The Monk

    Una lipi la kumshauri huyu Mke wa mtu?

    Pimbi wa kwenye Sani. Hamna kitu hapo, huyo Mke anataka kutengeneza mazingira ya kupata sehem ya kutoa mimba. Kama hii sio chai lakini!
  8. The Monk

    Mchepuko kaomba godoro, wapi nitapata kava nzuri za godoro niweke kwenye godoro ambalo silitumii

    Imagine unaletewa mikosi na mabalaa imeambatana na godoro kuu kuu.
  9. The Monk

    Nampenda huyu memba

    Mambo yasiwe mengi
  10. The Monk

    USHUHUDA WANGU: Nilivyotembea na wake za watu vol 1

    Ngumu sana hii nchi kuendelea. Tizama mambo tunayojisifia nayo
  11. The Monk

    Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

    Haya mambo magumu sana, ukishakua mtoto wa kiume hata uwe na umri wa miaka minne, ukiona mambo yoyote ya kimahusiano kumhusu ndugu Yako wa kike hata awe anakaribia kustaafu, hua tunachefukwa balaa. Shida ni Ile kujua, kama usingeona hizo picha heshima kwa dada ingebaki pale pale. Unatumia...
  12. The Monk

    Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

    Ushauri Bora na mzuri kabisa Kwa wale ambao Bado hawajaathirika. Huyu tayari yupo kwenye mfadhaiko kiongozi, anahitaji neno la kumpunguzia mdadhaiko.
  13. The Monk

    Moshi: Mke Amuua Mume Wake Kisa Amemkuta Kwa "X"

    Nilitaka kushangaa...aangalia usije ukabadili matokeo ubaon ukasoma 1-2 tafadhali. Nakusihi sana. Hayo matokeo Yana ambatana na wengine kwenda getrezani.
  14. The Monk

    Wanaume hawa hawafai.

    Maghayo ni upcoming Billionaire, nna project nae tatizo mnamchukulia juu juu. Turudi kwenye hoja, watu wa namna hii anawaongelea mleta mada wapo Karne hii?
Back
Top Bottom