Najaribu kuwaza fursa.
Kwamba naweza nunua hizi Router Kisha nikajiunga na Bando Unlimited la 110k kwa Mwezi ambapo nitaweza kuunganisha Device 30 kwa mara moja.. Kisha nikaenda eneo Kuna wadau wengi nawaunganisha kwa Tsh. 500/device kwa siku.
Ama Kuna restrictions wadau?
Una uhakika hawana hatia?
Mimi Kuna siku sina hili Wala lile, nakatiza zangu chini ya Mnazi, likunguru likaniparamia na kunikwaruza kichwani na makucha yake, ukizingatia nilikuwa nimenyoa Dongo.. Nilimmaind sana yule Fala.
Halafu unasema hana hatia?
Mabasi yanaachana kwa Interval hadi ya Dakika 20 wakati mwingine.. Ni ngumu kuambia watu wapange foleni wakati mtoa huduma hana consistency na hazingatii muda.
Imebaki Abiria kugombania na kugombana tu.
Nenda Ulaya na Marekani sasa.
Kule ukisema unatokea Tanzania wanakuuliza Iko wapi hii?
Ukiwapa ufafanuzi kuwa ni Nchi inayomiliki Mlima Kilimanjaro, wanakwambia mbona huu Mlima sisi tunajua uko Kenya?
"Haibu" sana..
Do you want a beer?
Yeeees
Do you want a beer?
Yes
We want a beer
Coz beer
Makes me talk with everybody
Beer I love you, don't tell somebody
Beer I love you, don't tell somebody
Beer I love you, don't tell somebody
Beer I love you, don't tell somebooooody...
Do you want a beer?
Yes
Jah ha zi, Tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.