Recent content by sura mbaya

  1. sura mbaya

    NAOMBA KUFAHAMISHWA KUHUSU "LUGALO MILITARY HEALTH COLLEGE"

    Wana JF naomba kufamishwa: 1) Mwaka jana 2018 chuo cha lugalo kilifungiwa na nacte. Naomba kufahamushwa kama kimeruhusiwa kufanya udahili tena. 2) Nilijaribu kumtuma mtu akanichukulie form ya kujiunga akaambiwa aingie website ya NACTE lakini hatuja fanikiwa. Naomba kufahamishwa jinsi ya...
  2. sura mbaya

    KIWANJA KINAUZWA DODOMA

    Tupia picha mkuu
  3. sura mbaya

    TISS, punguzeni unnecessary distractions kwenye mikutano ya viongozi

    GEORGE BUSH alisha shambuliwa kwa kutupiwa kiatu akiwa anahutubia ndani. Ndugu ulinzi huo ni muhimu sana kwa viongozi wetu.
  4. sura mbaya

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Hata mimi nilisha bambikiwa simu mbovu humu na nikakoma kununua simu jf.
  5. sura mbaya

    Madiwani wa CHADEMA washuhudia walivyohongwa hela na CCM ili wahame

    Kweli siasa mchezo mchafu. Watu wakihamia CHADEMA eti wamefuata mabadiriko ila Watu wakiahamia CCM wamehongwa. Haya..... wanasiasa wa tz endeleni kutuchanganya tu.
  6. sura mbaya

    Wenye uhitaji wa walimu wa masomo yote njoo hapa tukutane na professional teachers

    Nahitaji mwalimu wa Physics, chemistry na biology... Npo dar
  7. sura mbaya

    Mashine ya selcome inauzwa

    Cjui nn kinakusumbua aiseeee! Acha kuharibu biashara za watu.
  8. sura mbaya

    Nina 50,000sh. nifanya biashara gani?

    Vocha zita mlaza njaa
  9. sura mbaya

    Kiwanja kinauzwa kinzudi,usukumani Goba bei 13milion

    Mm npo tayari kubet na ww twende nikakuonyeshe na hyo lak5 yako nitakulipa mm na ww utanilipa jiwe. 0712-405818. Nipigie tuongozane
  10. sura mbaya

    Kiwanja kinauzwa kinzudi,usukumani Goba bei 13milion

    Bei inaongeleka mkuu
  11. sura mbaya

    Kiwanja kinauzwa kinzudi,usukumani Goba bei 13milion

    Sio bonde. Hapo ni flat kabisa. Ukiweza njoo upaone mkuu
  12. sura mbaya

    Kiwanja kinauzwa kinzudi,usukumani Goba bei 13milion

    Kiwnja kinauzwa ukubwa ni 20×20 milion 13. Kipo sehemu nzuri Goba kinzudi,usukumani. Hakina dalali karbuni sana 0712-405818
  13. sura mbaya

    Aliye tayari kunizalia mtoto

    Rudia swali: Daata
  14. sura mbaya

    Aliye tayari kunizalia mtoto

    Mie nawakaribisha
  15. sura mbaya

    Aliye tayari kunizalia mtoto

    Sawa Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom