Recent content by Strong Durable

  1. S

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    Mwanamke Asili yake kulinga abembelezwe adeke Afurahi na Kuna Muda audhike Awe ajue akiwa na Shida Kuna Sehem Atapata Wa kumtuliza Akili yake hata awe na Pesa vip Mwanamke ndio uhalisia Wake hata awe Mkuu Kwenye vitengo nyeti Kwenye Dunia Hii Lazima Iwepo Wa Mwanaume Mtulivu Mwenye Akili uwepo...
  2. S

    Wanaume wa sasa wanapenda kulelewa, tofauti na wa zamani

    Hao ni wanaume Wa Dar Njooni huku Mikoani tupo tunapiga Jembe Wewe Njoo na Hela zako tuwekeze shamba na Kitandani Utaenjoy Vijijini hatutaki ubishoo
  3. S

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    Hapo ujue Kuna kitu kinakera
  4. S

    Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

    Vya Uvunguni ndio vip hivyo Mbona mi sijui
  5. S

    Marekani yalalamikiwa ajali iliyomuua Rais wa Iran!

    Ukiwekewa vikwazo usifikiri utaumia Leo Kwa wanao jua vikwazo lakini
  6. S

    Helikopta iliyomuua Raisi isingeweza kupaa zaidi ya futi 10,000

    Wakikutka watakupata Amini Kuna Njia Nyingi za Kukupata elewa hivyo
  7. S

    Nini kinaendelea Gaza

    Walio anzisha ndo wakulaumiwa Acha wajute Iwe fundisho Kwa Vizazi vyao Vyote Na hii ndo Adhabu hawata rudia ujinga Ule wakikumbuka Wataacha watafute Njia Nyingine Sio kuvamia Jamii za Watu na Kuua Alfu utake Lawama Kwa Watu
  8. S

    Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

    Alafu Nyie Waarabu Wa Buza kwa mpalange Muwe na Akili basi Wewe Una kuwa na kiburi na Wakubwa Alafu Unatumia Vyombo vyao vya Moto Si unatafuta kuungua tuu
  9. S

    Mke wa Ebrahimu, Raisi aliyefariki kwa ajali ya helicopter Jamileh-Sadat Alamolhoda

    Waache Kutumia Vitu vya Wazungu ,kiduku Kasema Nchi yake hataki Mtu yoyote avae jinsi zinatoka Ulaya Raia Wote wavae Mabwanga Vazi la Asili Kuna Nchi Ngumu Duniani hapa
  10. S

    Iran: Uchaguzi Mkuu wa kumpata Rais mpya kufanyika Juni 28, 2024

    Waarabu Wa Bongo Wanakuzika Hata kama umezimia utazinduka Kabulini
  11. S

    Zile Helikopta mbili za Ulinzi msafara wa Rais wa Iran aliyefariki kwa ajali zilikwepaje hali mbaya ya hewa?

    Chopa Yenyewe ya Mmarekani Alfu Unaleta Jeuri Alfu Spare part Kasema Hakupi Unategemea Nini Sasa( Kuna vitu vya Kutumia Nguvu) na (Vitu vy Kutumia Akili )
  12. S

    Nilisema hapa hapa kuwa Kitendo cha Iran kwa Makusudi Kuishambulia Israel kina Mshindo Mkubwa baadae sikueleweka, ila sasa tutaelewana tu

    Alafu Nchi Ndogo kama Iran Kweli Unawavimbia Wakubwa Alfu Unatumia Ndege Zao technologia Yao Kweli Kila Kitu Chao wanajua Mienendo Yako Yote Unayofanya Kila Siku Mpaka Unalala Kukutoa Roho ni Dakika tuu Alafu Hawa Wazungu wakitaka Jambo lao Hawana Haraka Mpka Msahau ndo wanafanya Tumsubili Rais...
  13. S

    Je, siku ya Leo unamshahauri nini hasa Benjamin Netanyau?

    Kazi iendeleee pale Iran Patatulia Tuu maana Panapigwa Humo Humo Kwenye Mshono
  14. S

    Je, siku ya Leo unamshahauri nini hasa Benjamin Netanyau?

    Pale mashariki ya kati panatakiwa Rais kama Yeye Sio Hawa Wengine Wanataka Kucheka Cheka haswa Viongozi Wa Africa Vilaza Kwa hiyo basi Alivyo Fanya Kwa Rais Wa Iran Iwe fundisho Kwa Wengine Wote Tena apige mkwala hadharani kweupe na Hamas Watoke Wenyewe Kwenye Mashimo Humo
Back
Top Bottom