Recent content by Sonship

  1. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kimara Temboni

    Mazungumzo unafanya na mwenyewe Sio kila tajiri ana muda wa kutafuta wateja wa kuwauzia mali yake Kazi yangu ni kutangaza biashara ukiipenda unakaa mezani na muuzaji mnamalizana
  2. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kimara Temboni

    Mali inapakana na kanisa katoliki Mtaa mwenyewe hujafika ukaona ulivyo
  3. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kimara Temboni

    Mkuu naletaga hapa viwanja vya bei nafuu watu wanakausha kama hawavioni visingizio vyao wanataka hati ya vizara sasa Leo nimeshusha mzigo wenye hiyo hati lakini bado kelele haziishi.
  4. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kimara Temboni

    Mkuu Mkiletewa vya bei mchee hamnunui sasa tufanyeje wacha tuwaletee vya bei iliyochangamka
  5. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kimara Temboni

    Sio ishue ya dalali ni bei ya muuzaji mwenyewe kama huiwezi tulia
  6. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kimara Temboni

    Kiwanja kipo Kimara Temboni Barabara ya kwenda Matosa Ukubwa ni square meter 1,200 Bei ni sh. 100,000,000/= (Milioni mia moja) Maongezi yapo kwa mteja serious Kipo jirani na Kanisa katoliki st.Monica Kiwanja kina Hati ya Wizara(TITTLE DEED) Kipo sehemu nzuri sio bondeni Kinapakana na barabara ya...
  7. Sonship

    Eneo/shamba linauzwa Kibaha Loliondo Pangani area

    Sio sababu kama ni mnunuaji kweli huwezi kushindwa kupita kila panapohitajika kwaajili ya kupata kibali cha kumiliki eneo.
  8. Sonship

    House4Sale Eneo la biashara linauzwa kibaha Misugusugu

    Ni eneo la biashara linauzwa. Lina frem za maduka 12. Lina Apartments, 4 zenye chumba. Self na sebule kila moja Lipo kibaha Misugusugu Pwani. Bei yake ni milioni 90. Umiliki hati ya Wizara. Karibu sana tajiri Mawasiliano: 0675 065906
  9. Sonship

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kiluvya

    Ofa! Kubwa ya viwanja kiluvya 1. Kiluvya Gogoni Sqm 1200 ~ mln 40 umbali mita. 400 kutoka morogoro road 2. Sqm 800~mln 18 umbali km 1.5 kutoka morogoro road 3. Kiluvya kwa komba Sqm 800~mln 14 umbali 1.5km kutoka morogoro road. Sqm 1200 mln 25 umbali 1.5 km kutoka morogoro road Nyaraka...
  10. Sonship

    House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha Msufini

    WALE MABOSI WANAOTAKA NYUMBA NA VIWANJA VYENYE HATI YA WIZARA MALI HII HAPA SASA MBONA SIWAONI??? ......... NYUMBA (BINAFSI) NZURI IMEJENGWA KISASA INAUZWA MSUFINI MLANDIZI. IKO KWENYE CORNER PLOT, NI KILOMITA 1 TU TOKA MAIN ROAD LOC : KIBAHA KARIBU NA MSUFINI MLANDIZI AREA :SQM 534 PRICE ...
  11. Sonship

    Eneo/shamba linauzwa Kibaha Loliondo Pangani area

    Mkuu ni kileta viwanja vyenye hati ya wizara utaweza kununua?
  12. Sonship

    Eneo/shamba linauzwa Kibaha Loliondo Pangani area

    KIWANJA KINAUZWA BINAFSI LOC: KIBAHA KWA MFIPA SIMBANI JIRANI NA TAASISI MAMA ANNA MKAPA UKUBWA: ~ Heka 1 PRICE : Milioni 20 UMILIKI: Mkataba wa mauziano wa serikali za mitaa SIFA : Panafaa kwa Kukata viwanja,makazi na uwekezaji
  13. Sonship

    Eneo/shamba linauzwa Kibaha Loliondo Pangani area

    KIWANJA KINAUZWA BINAFSI LOC: KIBAHA LOLIONDO PANGANI AREA UKUBWA: ~ Heka 1 PRICE : Milioni 25 maongezi kidogo yapo UMILIKI: Mkataba wa mauziano wa Serikali za mitaa SIFA: Panafaa kwa Kukata viwanja, makazi na ufugaji
Back
Top Bottom