Mazungumzo unafanya na mwenyewe
Sio kila tajiri ana muda wa kutafuta wateja wa kuwauzia mali yake
Kazi yangu ni kutangaza biashara ukiipenda unakaa mezani na muuzaji mnamalizana
Mkuu naletaga hapa viwanja vya bei nafuu watu wanakausha kama hawavioni visingizio vyao wanataka hati ya vizara sasa Leo nimeshusha mzigo wenye hiyo hati lakini bado kelele haziishi.
Kiwanja kipo Kimara Temboni
Barabara ya kwenda Matosa
Ukubwa ni square meter 1,200
Bei ni sh. 100,000,000/= (Milioni mia moja) Maongezi yapo kwa mteja serious
Kipo jirani na Kanisa katoliki st.Monica
Kiwanja kina Hati ya Wizara(TITTLE DEED)
Kipo sehemu nzuri sio bondeni
Kinapakana na barabara ya...
Ni eneo la biashara linauzwa.
Lina frem za maduka 12.
Lina Apartments, 4 zenye chumba.
Self na sebule kila moja
Lipo kibaha Misugusugu Pwani.
Bei yake ni milioni 90.
Umiliki hati ya Wizara.
Karibu sana tajiri
Mawasiliano: 0675 065906
Ofa! Kubwa ya viwanja kiluvya
1. Kiluvya Gogoni
Sqm 1200 ~ mln 40 umbali mita.
400 kutoka morogoro road
2. Sqm 800~mln 18 umbali km 1.5 kutoka morogoro road
3. Kiluvya kwa komba
Sqm 800~mln 14 umbali 1.5km kutoka morogoro road.
Sqm 1200 mln 25 umbali 1.5 km kutoka morogoro road
Nyaraka...
WALE MABOSI WANAOTAKA NYUMBA NA VIWANJA VYENYE HATI YA WIZARA
MALI HII HAPA SASA MBONA SIWAONI???
.........
NYUMBA (BINAFSI) NZURI IMEJENGWA KISASA INAUZWA MSUFINI MLANDIZI. IKO KWENYE CORNER PLOT, NI KILOMITA 1 TU TOKA MAIN ROAD
LOC : KIBAHA KARIBU NA MSUFINI MLANDIZI
AREA :SQM 534
PRICE ...
KIWANJA KINAUZWA BINAFSI
LOC: KIBAHA KWA MFIPA SIMBANI
JIRANI NA TAASISI MAMA ANNA MKAPA
UKUBWA: ~ Heka 1
PRICE : Milioni 20
UMILIKI: Mkataba wa mauziano wa serikali za mitaa
SIFA : Panafaa kwa Kukata viwanja,makazi na uwekezaji
KIWANJA KINAUZWA BINAFSI
LOC: KIBAHA LOLIONDO PANGANI AREA
UKUBWA: ~ Heka 1
PRICE : Milioni 25 maongezi kidogo yapo
UMILIKI: Mkataba wa mauziano wa Serikali za mitaa
SIFA: Panafaa kwa Kukata viwanja, makazi na ufugaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.