Recent content by SONDR

  1. SONDR

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Dozee dozeee
  2. SONDR

    Kwa dalili hizi Ninahisi nina maambukizi ya VVU

    Nenda hospital ukapime sio kila mwenye enlarged lymph node anamaambukizi ya ukimwi.
  3. SONDR

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Natafuta mwanamke wa kumuoa Mimi ni kijana wa miaka 29 Medical doctor Mtumishi wa serikali Nimejenga Ninausafiri binafsi. Mwanamke awe Mpenda dini na ambae yupo tayari kwa maisha ya ndoa
  4. SONDR

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Athari ya muda mrefu ya pombe ni kuathiri moyo,maini na figo
  5. SONDR

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Kupitia kifo cha Gardner Nimeamua rasmi kuacha unywaji wa pombe
  6. SONDR

    Ushauri: Mwajiri anataka vyeti pamoja na leseni (original) ili anisajili kwenye kituo chake, hii ni sahihi? Nitaweza kuajiriwa serikalini?

    Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya. Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa kazi na muajiri wangu. Ila cha kushangaza muajiri wangu anataka nimpatie vyeti vyangu vya taaluma...
  7. SONDR

    Hivi kwanini sisi binadamu tukipata mafanikio kidogo tunavimba sana?

    Wala sio majivuno amepga hatua mbele kwenye utafutaji wake so Utateseka na maisha yawatu mpaka ujue hayakuhusu
  8. SONDR

    Ulishawahi kujilaumu kwa kufanya starehe ya muda mfupi yenye madhara makubwa kwako?

    Pombe pombe pombe Nimeitaja maratatu hii kitu niyakuacha
  9. SONDR

    Kwa Laki 5 naweza nikafungua Maabara?

    Tafuta rapid test Location nzuri Kapige kazi
  10. SONDR

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Wasamvazaji wa pombe kali Tutafutane kwa simu no. 0717 724 800
  11. SONDR

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Mshana Jr my role model
  12. SONDR

    Msaada juu ya mtoto nimehangaika hospitalini bila mafanikiao

    Malezi ya mtoto yana changamoto nyingi sana 1. Hakikisheni ndoa yenu ina Amani 2. Hakikisha mtoto Hana vipele mwilini,aweananyonya na akipewa chakula mama ahakikishe mtoto ameshiba. 3. Kutana na madaktari wawatoto atakusaidia zaidi. 4. Dawa za asili kulingana na Imani yako zitumie kama huziamini...
Back
Top Bottom