Natafuta mwanamke wa kumuoa
Mimi ni kijana wa miaka 29
Medical doctor
Mtumishi wa serikali
Nimejenga
Ninausafiri binafsi.
Mwanamke awe
Mpenda dini na ambae yupo tayari kwa maisha ya ndoa
Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya.
Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa kazi na muajiri wangu.
Ila cha kushangaza muajiri wangu anataka nimpatie vyeti vyangu vya taaluma...
Malezi ya mtoto yana changamoto nyingi sana
1. Hakikisheni ndoa yenu ina Amani
2. Hakikisha mtoto Hana vipele mwilini,aweananyonya na akipewa chakula mama ahakikishe mtoto ameshiba.
3. Kutana na madaktari wawatoto atakusaidia zaidi.
4. Dawa za asili kulingana na Imani yako zitumie kama huziamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.