Waziri Wa Ujenzi hivi unajisikiaje njia mhimu kama hii Km hizo tu umeshindwa kusaidia llolote naamini Magu angeshafikisha hii barabara Morogoro na zaidi njia 4 kila upande..Magufuli unisamee baba kwa kukuwazia ndivyo sivyo...Wewe ni Mwambaaa
Hamjui kutangaza Biashara..Elezea Vizuri Huyu Dume ni Ayshire au Jersey
Mama yake anatoa lita ngapi?
Kwanini unamuuza?
Ana umri gani?
Ana ugonjwa au hali yake ya afya ikoje?
Yuko Sehemu gani na Mwisho utaje chanjo alizopata Ndigana Kali
ECF nakadhakika
Kama watu wengine wanavyoshangaa hapa Tanzania tunaibiwa na genge flani linajulikana linaiba hadharani kabisa linatuumiza tunakosa barabara wala maji na huduma mbovu lakini ndio hivyo tu.
Huu Mkwara ningekua mimi ni Comedy ningeshamuamkia Mzee Putini Shikamoo Mzee wangu.
Mana Kharkov ikichukuliwa wanasogea kwenda Kyiv watamtoa lazima. Nchi nzima ile itakaliwa sasa sijui atafanyaje..Mjinga huyu hivi hajaona Hao hao mashetani walimsaidia Sadam Vs Iran baadae wakamuua...Walisaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.