Raisi wa Iran huyo aliyeuawa mwenye msimamo mkali ndie alikuwa kikwazo aliwaambia Hamas kuwa msikubali kukabidhi mateka mkikabidhi Iran haitawapa pesa na Silaha Sasa baadhi ya Viongozi wa Hamas wapenda vita iishe na kukabidhi mateka wote waliingia secret contract na Israel kuua huyo raisi wa...
Wavaa kobazi utasikia tunataka haki sawa umoja wa mataifa Wakati michango Yao kuendesha umoja wa mataifa ziko sifuri.Marekani ndie anabeba mzigo wa gharama za kuendesha umoja wa mataifa
Ni kama hapa kwetu wazanzibari kelele kibao ohh tuwe sawa vyeo nusu Kwa nusu mikopo ya nje nusu Kwa nusu...
Itakuwa Nyege zilimzidi akawa anatongoza masista warembo akasahau kusoma
Kanisa liwe linapeleka usista masista wenye sura mbaya kama Kobe aliyefiwa na mkwewe kuwa masista
Shida ya vyama baadhi Africa iko.hapo ndio maana kushika Dola Vigumu wanaficha solutions za matatizo ya nchi wanaongea kama wehu tu kusema Kuna shida hii na hii ila solution hawatoi.
Sasa wananchi watawalewa vipi sababi hizo shida hata wao wanazijua ila solution hawajui
Sasa upinzani ukiongea...
Vyote Hivyo Huwa Wanaongea tu kama wehu hawaelezi wao kama wao wakipewa nchi watafanya nini ili mfano mfumuko wa bei usiwepo kitaalamu
Huongea kama wehu tu majukwaani
Huyo Raisi wa Iran aliyekufa ndie aliamuru Jeshi la Iran lishambulie Israel Kwa makombora
Amekuwa maiti inayotembea kwenye Helicopter na Bado wengine
Muisrael akipigwa Huwa anaehuka anakuwa mwehu kivita atawabamiza hasa tusubiri wengine ngazi za juu Iran kuuawa na Israel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.