Recent content by Sabung'ori

  1. Sabung'ori

    Tetesi: Dkt. Slaa kuibuka na Umoja Party

    Marehem asemwi vibaya,Tumwater Bob J apumzike
  2. Sabung'ori

    Ushuhuda wangu kuhusu kaburi la Hayati Magufuli

    Huu mwandiko ni kama wa Zumaridi
  3. Sabung'ori

    Maswali tunayopaswa kujiuliza kama Taifa baada ya kujua watoto wa Lissu ni raia wa Marekani

    Wakwako peleka hapo Burundi ili kubalamce mambo
  4. Sabung'ori

    Ukienda Mjini kutafuta Maisha hakikisha unafanya haya

    Hayo yote uliyoorodhisha hayana maana coz sijaona sehemu yoyote uliyomtaja Muumba mbingu na aridhi
  5. Sabung'ori

    Treni ya umeme naona imeanza kazi

    Kwa speed hiyo bilashaka letakuwa ni trani la umeme wa jua na mvua hizi zinavyonyesha uenda ndo imesababisha likakosa nguvu ya-kukimbia
  6. Sabung'ori

    Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

    Acha masimngo na ulimbukeni usiokuwa na maana kijana,kila sehemu inautamaduni wake wa vyakula,kama ambavyo hauwezi kupata furu wa kubanika Washington ndio hivyo hivyo ulikosa brown bread Mwanza,uku kwetu asubui tunagonga chai ya maziwa na mahidi ya kuchemsha kwa raha zetu,hayo si jui ma brown...
  7. Sabung'ori

    Haya mambo ya kupata mke mtandaoni yana ukweli?

    Tofauti ya ku-bet na kutafuta mnawamke mitandaoni ni ndogo sana,kumbuka 1/Dec ili kuwa ni juzi tu na watafiti wamesema ya kwamba asilimia 70 ya maambukizi mapya ya UKIMWI ni vijana kati ya miaka 14 hadi 25 na hao ndio wamejaa humu mitandaoni
  8. Sabung'ori

    Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

    Yamtokayo mtu kinywani mwake ndio yameujaza moyo,tofauti ya huyu na yule ni njinsia tu
  9. Sabung'ori

    Je, Mwanaenzi Hassan Suluhu ni mtoto wa Mama?

    Sikuzi zinakuja na kupita,kuna yale yasiyotabirika yakitokea kila kitu kitakaa mahala pake
Back
Top Bottom