Recent content by Ptheducer15

  1. Ptheducer15

    Looking for a Husband

    Am ready my dear Jane
  2. Ptheducer15

    Mgogoro wa msanii Diamond na baadhi ya Media

    Unaongea usichokijua
  3. Ptheducer15

    TCRA yawafungia Wasafi FM kwa kutumia lugha za matusi

    Kaka usiongee kwa kutokujua, wasafi wana leseni ya Zanzibar sio Tanzania bara. So leseni waliombea Zanzibar
  4. Ptheducer15

    Kwanini Wanaume wengi siku hizi mmegoma kuzama chumvini?

    Sio wote wengine tunazama kama kawaida mbona
  5. Ptheducer15

    Wanaume warefu...

    Sio kweli, mbona mimi mrefu na sina kibamia.
  6. Ptheducer15

    Natafuta Mume

    mi pia nahitaji mke jamani, tuchekiane basi
  7. Ptheducer15

    Simuelewi mpenzi wangu

    Afadhali useme wewe maana wana kasumba mbaya za kwamba mtu aoe ana miaka 35 kwenda juu bt hawafikirii malezi ya watoto na umri wako unakwenda
  8. Ptheducer15

    Gopro 3 black edition kamera inahitajika

    Nahitaji kamera aina ya gopro black edition 3 ya kununua. Alie nayo anitafute inbox au kwa namba 0782213161
  9. Ptheducer15

    Nauza kamera

    Nj nzima kabisa ila nahitaji hela kwa mambo mengine
  10. Ptheducer15

    Nauza kamera

    Ni nzima kabisa ila nahitaji hela nifanyie mambo mengine
  11. Ptheducer15

    Simuelewi mpenzi wangu

    Afadhali ndg yangu unisaidie maana hawa jamaa hawajui kabisa, sasa ukioa una miaka 38 then huyo tu 1st born mpaka aje aanze la kwanza una 40 na kitu akija kumaliza la saba una 50 na kitu na kama una mipango ya watoto watatu mtoto wa 3 atamaliza darasa la saba una 60 kuelekea 70
  12. Ptheducer15

    Nauza kamera

    nauza kamera canon 500d ina pixel 14 . inashuti video fully hd na kupiga picha za mnato (still picture) kama unahitaji nicheki tuongee biashara bei ni poa kabisa 0782213161
  13. Ptheducer15

    Nauza kamera

    nauza kamera canon 500d ina pixel 14 . inashuti video fully hd na kupiga picha za mnato (still picture) kama unahitaji nicheki tuongee biashara bei ni poa kabisa
  14. Ptheducer15

    Simuelewi mpenzi wangu

    Sio kila ushauri unafaa, huyo anapenda kulea watoto uzeeni. Wengine tunapenda tulee tukiwa bado strong na ujana
Back
Top Bottom