Kwa hiyo wewe umewahi kufanyiwa hivyo nini na huyo mtu anayeitwa Mudi,ndio ukajua nimfanyaji hivyo.Pole sana,lakini jitahidi uache,usiendelee.Kila msifia mvua,ujue imemnyeshea.
Hakuna ushenzi wowote,tofautisha dini na mtu aliyeingia kwenye hiyo dini.Ndio ukaona huyo kauliwa,kwa sababu kenda kinyume na maharishi ya dini ya kiislamu.Ingekuwa wa dini nyingine mpaka leo,angekuwa anapeta,na kungefanyika maridhiano,yakaisha hayo.
Ndio.ujue waislamu hawataki upuuzi huo,ndio wakamuuwa.Lakini kwa wengine,asingeuliwa,ingefanyika vikao vya maridhiano,na ndio ikawa imekwisha hiyo.
Coast region wapo dini tofauti na wasiokuwa na dini,,wengi hufikiria mikoa ya Pwani wapo watu wa dini aina moja.Tena huko ndio utakuta...
Asili ya muarabu ni mweusi.Hao unawaona weupe,ni baada ya muarabu wa asili(,mweusi),Kuoana na watumwa wanawake wa ulaya ya mashariki.Hata neno Afrika ni jina la mtawala muarabu mweusi,alikuweko huku Afrika.Kwa hiyo hawa half cast wa kiarabu(mzungu na mwarabu mweusi),nyinyi ndio mnawaita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.