Huyu mume wake ni Yule alikuwa anatembea na BLACK BAG ….agents paymaster wa TISS …. Alichezea pesa ya idara sana …..kwa mambo ambayo hayakuwa na state interest …., alikuja kupigwa risasi mchana peupe pale uwanja wa ndege ….alikuwa pia na kashfa ya kusaidia Wauza unga kuvuka uwanja wa ndege...
Hizi ni zamu tu za mawaziri kamili kwenda kupokea wageni airport kunapokuwa na wageni Wengi….hata DOROTH GWAJIMA na Angellah Kairuki huwa wanapewa hizo nafasi
Walitaka aachwe na alikuwa anahujumu ulinzi wa usalama wa nchi na mipaka yake ??? Alikuwa na Nia ovu ya kuidhooofisha nchi kiulinzi na utendaji Kivita Huku machoni kwa watu akifunika na kufanya miradi ya haha na pale ..
Amiri jeshi gani miaka yake alisitisha ajira majeshini ?? na hata akitoa...
Walitaka aachwe na alikuwa anahujumu ulinzi wa usalama wa nchi na mipaka yake ??? Alikuwa na Nia ovu ya kuidhooofisha nchi kiulinzi na utendaji Kivita Huku machoni kwa watu akifunika na kufanya miradi ya haha na pale ..
Amiri jeshi gani miaka yake alisitisha ajira majeshini ?? na hata akitoa...
Naona kapewa “mapumziko” kusubiri maamuzi ya Mamlaka ndani ya chama ……inaonekana kwenye hili mtetezi wake pekee ni mwenyekiti….wote waliobaki washaweka wazi msimamo wa kutoweza Kufanya Nate Kari, a test kwa mwenyekiti
Hofu yangu pia iko hapa…wale wenye msimamo mkali wa kidini watakubali kuswali kibra kuelekea bar za kukesha , watu wanaoogelea utupu …na uchafu mwingine unaoendelea pale ??? NDIO MAANA TUNAULIZA WATU WA MIPANGO MIJI WAMEFIKIRIA NINI KURUHUSU HILO ………. Migogoro mingine inazuilika ….., wangeacha...
Haikataliwi kutenga sehemu za kuabudu … lakini kujenga jengo la kudumu ni kuja kutafuta matatozo baadaye kwani wote pale wameambiwa wajenge majengo ya muda
Mtu mwenye rekodi ya jinai na anayeendelea kutishia kudhuru raia ndio mama ameona anafaaaa kwenda kumwakilisha kwenye mkoa wa kimkakati , na Makao makuu ya afrika mashariki ambako mara nyingi atatakiwa kumuwakililisha kwenye masuala ya kimataifa
Eneo la kudumu limeendelea kugubikwa na mipangp mibovu baada ya jengo la kudumu la msikiti kuanza kujemgwa sambamba na vibanda vya mihogo na kilevi
Hakuna anayekataa watu kuswali lakini wangeweza kutenga maeneo ambayo sio ya kudumu kama ilivyokua awali kuruhusu waislamu au wakristo wanaohitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.