Mkuu punguza wivu na hawa madogo em tuwaache kidogo kumbuka dunia ilivyo sas vijana wameikuta dunia ishachangamka alaf ni vitu vya kawaida nikuulize....kwahy ww ulitaka utongoze ule mzigo baad ya mwezi!!!ww huon watoto wa 2000s wanavyotuokoa leo numb kesho kesho kutwa unakula mzigo
Mkuu pambana kitaa kigumu bila mishe mimi takribani nina mwaka sas toka nmezinguana na muajiri wangu hizi milion nimekamata san lakini leo ht 10k ni kwa mbinde san na nina mke na mtoto mmoja inafika kipind naamua kubet tu kukuza mtaji ndio nipate hela ya kula.
Shukuru kwa unachokipata kiwe kidg...
Nimeanza kusoma nilipofika tu hapa ikabid niache kusoma "Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
Nipo najiuliza hapa maswl nisiyokuw na majib nayo
1.malaika anakula!?
2.malaika wanawapenzi/mke au mume
3.je kuzimu kupo wapi!?
4.shetan anamke/mume
5.dunia inasemekana inaelea je chin ya dunia kuna nn km juu tunavyoona mawingu!!?
mwenye kujua anitag ila naona kuna usiri mkubw san ktk uumbaji...
mm ni chizi ila ww ni punguani yan mnajifanya wajuaj sana ktk maisha ya watu jitathmin,yan ulicoment km mchawi alietoka kuwanga inaonyesha ni jins gn unaroho ya makasiriko kwa mamb yasiyo na ulazima,
Mchiz kaomba ushaur kitu ipo wazi ww unaanza kumuuliza maswal ya kimandazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.