Recent content by Old guard

  1. Old guard

    Kizazi cha 2000 ni kizazi kilichokoswa maadili

    Mkuu punguza wivu na hawa madogo em tuwaache kidogo kumbuka dunia ilivyo sas vijana wameikuta dunia ishachangamka alaf ni vitu vya kawaida nikuulize....kwahy ww ulitaka utongoze ule mzigo baad ya mwezi!!!ww huon watoto wa 2000s wanavyotuokoa leo numb kesho kesho kutwa unakula mzigo
  2. Old guard

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    game za live zina raha yake sana unausoma mchezo
  3. Old guard

    Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

    Mkuu pambana kitaa kigumu bila mishe mimi takribani nina mwaka sas toka nmezinguana na muajiri wangu hizi milion nimekamata san lakini leo ht 10k ni kwa mbinde san na nina mke na mtoto mmoja inafika kipind naamua kubet tu kukuza mtaji ndio nipate hela ya kula. Shukuru kwa unachokipata kiwe kidg...
  4. Old guard

    Laiti UVCCM wangejua chama chao ndio chanzo cha umaskini kwa kuitumia dola kuzuia mabadiliko wangekihujumu kwa maendeleo mapana ya Taifa

    Nimeanza kusoma nilipofika tu hapa ikabid niache kusoma "Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
  5. Old guard

    Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

    Nipo najiuliza hapa maswl nisiyokuw na majib nayo 1.malaika anakula!? 2.malaika wanawapenzi/mke au mume 3.je kuzimu kupo wapi!? 4.shetan anamke/mume 5.dunia inasemekana inaelea je chin ya dunia kuna nn km juu tunavyoona mawingu!!? mwenye kujua anitag ila naona kuna usiri mkubw san ktk uumbaji...
  6. Old guard

    Kila nikikumbuka visa vya Mama Mwenye Nyumba, Kanyenye (Tabora) sirudi tena

    Hii imenichekesha san[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "Na baadaye tena she was good kama mama yake.alininyonya mpaka katikat ya makalio yangu."
  7. Old guard

    Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

    ila inaonesha unapenda san mashine ww kwamaan kila thread yak ww ni mapenz tu
  8. Old guard

    Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

    itakuwa umlimnyima ududu huko pm[emoji23]
  9. Old guard

    Ushuhuda wa mbinguni na kuzimu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Old guard

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    mm ni chizi ila ww ni punguani yan mnajifanya wajuaj sana ktk maisha ya watu jitathmin,yan ulicoment km mchawi alietoka kuwanga inaonyesha ni jins gn unaroho ya makasiriko kwa mamb yasiyo na ulazima, Mchiz kaomba ushaur kitu ipo wazi ww unaanza kumuuliza maswal ya kimandazi
  11. Old guard

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    yan kuna watu mnajifnya mnajua sana maisha ya watu yan umejibu km kwa makasiriko kwa jamaa yan inaonyesha unaliroho la uwivu ndan yako
Back
Top Bottom