Recent content by nerilan

  1. nerilan

    MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

    Mkuu, Hawa wa Ukraine wao wako vipi haswa ukizingatia ubora wa elimu wanayopata kule?
  2. nerilan

    Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

    Hivi ndo hao walianzisha matukio ya uchunaji ngozi kwa kumchuna kijana wa kule Ileje?. Senjele na lile eneo zima pale lianaogopeka. Kuna kipindi miaka ya nyuma nilipita nikakuta container imeanguka pale ila inalindwa na askari wenye SMG
  3. nerilan

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Hapana mkuu, madhara ni kwa wote, japo inaweza kuwa sio kwa uwiano sawa. Kumbuka unapozungumzia Israel huwezi waacha washirika wake, pia Iran nayo ina washirika ambao kwa namna moja ama nyingine wanaweza unga mkono endapo ikiwa vita kamili. Kama umefuatilia habari, leo baada ya tukio la Iran...
  4. nerilan

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Unajua hii vita watu wanaichukulia kwa urahisi sana na ushabiki, bila ya kujua nini yanaweza kuwa madhara makubwa ya vita hiyo. Eneo la mashariki ya kati tayari liko kwenye mgogoro mkubwa, na ndiyo maana unaona baraza la usalama la umoja wa mataifa linakaa vikao kila siku, lengo ni kushinikiza...
  5. nerilan

    Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

    Mkuu, Sijajua uelewa wako juu ya swala alilozungumza Mufti likoje. Kwa clip uliyoweka hapo ni kuhusu mamlaka ya kuatangaza swala la mwezi. Kumbuka maswala haya yanategemea miandamo ya mwezi, kwahiyo ni sikukuu ambazo kiuhalisia hazina tarehe iliyo kamili. Sasa jiulize, mamlaka isingekuwepo ya...
  6. nerilan

    Kapteni Mabior Garang akiwa nje ya nyumba ya Mama yake huko Jebel Sudan Kusini

    Umewahi sikiliza mahojiano yake akifanya na waandishi wa habari?. Jaribu kusikiliza youtube alafu utoe mtazamo wako mkuu.
  7. nerilan

    Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi

    Arusha umekatika usiku pia, nimeshtuka saa 03:4am nje ni giza totoro. Mpaka sasa ni kimya kabisa.
  8. nerilan

    Msaada wa mawazo wakuu

    Ni mtumishi wa serikali?
  9. nerilan

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Hao sio King Cobra. Zingatia hilo neno KING mkuu. Hiyo jamii ni native specie ya Asia huko. Huku kwetu Afrika Cobra wako wengi ila wa aina nyingine.
  10. nerilan

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Mkuu, Watu wanachanganya mambo, sio kila Cobra anayeonekana ni King Cobra. King Cobra wako bara Asia tu, na kitaalam kabisa katika unyumbulisho wao kisayansi wanasema wale sio true cobra. Tunachopaswa kujua kuna zaidi ya aina 38 ya Cobra duniani. Na sio Cobra wote hutema mate/spitting, wako...
  11. nerilan

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Mkuu, Wataalam wa hawa reptiles wanasema King Cobra ndo the longest venomous snake in the world. Wapo wanaofika hadi futi 18 au zaidi.
  12. nerilan

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Mkuu, Huyo King Cobra unayeshauri apelekwe kwa ajili ya kula hao Black Mamba, mtoa mada anampata wapi?. Unajua kwamba King Cobra sio native snake in Africa?, wako bara Asia huko. Jisomee vizuri tena.
  13. nerilan

    Kama hamtojali naomba Ufafanuzi wa haraka juu ya haya mambo Matatu tu ya Umuhimu

    1. Mara nyingi akaunti ikikaa muda mrefu bila kutumika hulala na baadaye kufungwa. Akaunti iliyofungwa huweza kuombewa special approval kama kuna ulazima huo haswa kwa mambo ya kisheria na ikafunguliwa. Pia kuna wale ambao unakuta ana mkopo unao husiana na akaunti hiyo, na labda anataka...
Back
Top Bottom