Wewe haupo tayari kwa majadiliano ya hoja wewe akili yako ishajiandaa kupinga yaani haijalishi mtu ataongea nn unachoangalia wewe ni angle ya kupinga tu., haiwezekani watu wote unaobishana nao kila siku hakuna hata mara moja ushawai kuona point yaani uwe mtu wa kupinga pinga tu hakuna siku hata...
Hapo kwenye kujiamlia mambo yao ndipo kunakuaga na makandokando, ukiona kauli iyo kutoka kwa mwanamke "nahitaji muda kujiamlia mambo yangu" ujue ndio wale wale tu.. wewe mambo gani ya maana hauwezi kujiamlia ukiwa ndoani? Hivi umwambie mumeo unataka kufanya kazi, kufungua biashara n.k unataka...
Sure mzee jamaa quality ndogo sana yule na kuna takataka nyingi sana pale za kuondoa pale antony, magwaya, evans, varane, mount, amad diallo, erriksen, martial wote ni wa kusepa ,akipatika 6 mzuri basi casemiro nae anaweza ruhusiwa tu kuondoka, rashford anatakiwa kuamka msimu huu amekua ovyo...
Timu inahitaji marekebisho makubwa sana na uyo amrabat ni mmoja ya wanaotakiwa kuondoka, hawa wengine wakina magwaya kuwatoa inatakiwa busara kidogo kwa sababu bado wana mikataba kwaiyo timu itaingia hasara ya kulipa gharama za kuvunja mikataba suluhisho ni kuwauza zikitokea timu zinazowahitaji...
Mwanamke ndie yupo desperate na ndoa kwa sababu demand yake kwenye soko la mahusiano inawahi sana kushuka, mwanamke akifika miaka 30 tayari ashakua makapi tofauti kabisa na mwanaume. Suala la pressure kila jinsia inakumbana nalo katika angle tofauti hata ukija upande wa ku-maintain costs za...
Kutofautiana kimtazamo sio hasira. Umehalalisha mwanamke kutokua na bikira kwa kutumia sifa ambazo yoyote (asiyekua na bikira au mwenye bikira) anaweza kuwa nazo au asiwe nazo ndio maana nikakupinga, ukweli unabaki pale pale mwanamke mwenye bikira ni kielelezo cha mwanamke aliejitunza na...
Tupo afrika tunaongelea uhalisia kwenye jamii ya kiafrika sio jamii ya kizungu., unataka kuendelea kupelekewa moto mpaka ukifika miaka 50 ndio uoelewe nenda kaishi kwa wazungu ambao kwao iyo sio ishu ila wanaume waafrika hatuoi makapi
Bikira ni muhimu na heshima kubwa sana kwa mwanamke. Nitoe mahari ya kutunziwa nini wakati nimekuta binti ashatumika? Kama haujaolewa na aliekutoa bikira usitafute justification ya kuahalalisha ukicheche wako. Suala la kujitambua hata mwenye bikira anaweza kuwa anajitambua tena uyo ndio mfano...
Iyo iyo pressure ndio desperate yenyewe ninayoiongelea kuhusu hao wazungu achana nao wewe sio mzungu, wewe muafrika ishi kwa kanuni za afrika na hao wazungu waache waishi kwa kanuni za kizungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.