Recent content by Mwene chungu

  1. Mwene chungu

    RITA NA KULIPIA VYETI MARA MBILI!

    Habari wanajamvi! Nimebahatika kutembelea ofisi za RITA pale posta Mara kadhaa kufuatilia VYETI vya kuzaliwa vya vijana wangu. Mara ya kwanza nilifuatilia Cha kijana wangu mkubwa nikafanya malipo ya 10,000 wakanipangia tarehe ya kukifuata lakini nilipoenda wakadai stakabadhi haisomeki kwenye...
  2. Mwene chungu

    Nini Sababu za Serikali Kuzuia Uhamosho wa Wanafunzi?

    Kunafanyika sensa mashuleni zenye lengo la kupata idadi ya wanafunzi,walimu na miundo mbinu Kila mwaka mwenzi March Hadi June.Hivyo hii hupelekea kupata taarifa sahihi Kama hawahamihami ovyo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mwene chungu

    Je, hii picha imebeba ujumbe gani?

    Unayafahamu watu wanaopenda kuishi nje ya maarifa,huwa wanatabia ya kuhisi wao ndiyo chanzo cha maarifa
  4. Mwene chungu

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Ok, kumbe line 1 mtandao mmoja na siyo lini kutoka mitandao tofautitofauti
  5. Mwene chungu

    Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

    Muda wa kumjadili malya wanao,lkn muda wa kujua ukweli wa 1.5 mln hawana
  6. Mwene chungu

    Ningekuwa maarufu pia ningeoa Rwanda

    Nimeona imekuwa kawaida sasa Vijana wengi wasanij wa TZ wanaenda kuoa nje ya Tanzania.Binafsi nikawa najiuliza kwanini hawaoi hapa Tz.Je kuwa hapa hakuna warembo? Siko karbu sana na wasanii yamkini ningepata mambo kadhaa yanayopelekea wasioe hapa. Ameonakana AY kaoa Rwanda,Alikiba leo anaoa...
  7. Mwene chungu

    Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

    Naamini Mungu, Wananchi wapenda haki wako upande wa paschal mayala
  8. Mwene chungu

    Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

    Sasa akithibtisha alichokisema watatungazia?
  9. Mwene chungu

    CAG: Makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% - 15% yanakiuka Sheria; kuna watumishi wanateseka na makato makubwa

    Ukisoma kwa haraharaka kuhusu report ya CAG utagundua kuwa alimuweka mbele siasa na mambo mengine aliyeka pembeni. Ilikuwa kazi ya bunge sasa kuisimamia serkali ili mambo yakae sawa lkn kwa bunge hili wala tusitegemee chochote
  10. Mwene chungu

    Huu ndio mgawanyo wa majukumu kibongobongo msimu huu

    Vijana wengi wa kiume wako busy vibandani kufuatilia mpira (VPL); hata hawajui kama kuna bunge!!. Wajane na wanawake walioachwa wako busy wawapelekeje waume zao na waliowazalisha kwa Makonda; Hata hawajui kama kuna bunge!. Wanaoishi mabondeni wako busy namna ya kujinasua na mafuliko hata...
  11. Mwene chungu

    DR Mollel wa Siha aicharanga CHADEMA kwa takwimu. Atoa ushuhuda mzito

    Shule,makanisa,na taasisi zozote zinapoanza kuchangia hakukwepeki,Naamini CDM NI CHAMA KICHANGA,RUZUKU PEKEE HAZIWEZI KUKIMARISHA CHAMA.kuchangia hata sisi wanachi tunaweza.Akina kawawa waliwahi kumchangia nyerere ili kujikomboa.Ukiona huwezi kuwepo Upinzani nenda ccm kwenye masirahi kuwanyonya...
  12. Mwene chungu

    Mtwara: Mwalimu afariki ghafla baada ya kupewa barua ya kuhamishiwa shule ya msingi

    Hii ndiyo furaha yao! Wanafyrahi sana wanapokutana na taarifa kama hizi!
Back
Top Bottom