Recent content by mutu murefu

  1. mutu murefu

    Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

    Hii biashara itakua ya kwako sawa Ila wewe ndo utakua unaishi kama muajiriwa. Akiwa anataka interest zake zitimie anakupiga mkwara tu kuwa anamwambia wife. Unapoa
  2. mutu murefu

    Kuna jamaa kakuta message za rafiki yake akimtongoza mke wake kwenye simu ya mke wake

    Huyo jamaa mna uhakika ni mume kweli ni mwanaume? Sasa **** cha kuomba ushauri hapo? Mchane jamaa na mfukuze kwenu Mke wako anampenda jamaa, utavunga kama hamna kilichotokea mpaka mkeo analiwa nyumbani kwako
  3. mutu murefu

    Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

    cha ajabu wanaolalamika bei sio watumiaji wa bidhaa husika. Ukiona bidhaa huielewi elewi bei zake basi jua wewe sio target market yao. Hata rolls royce ya billion 2 kadhaa kama hauna pesa utaona ni gharama wakati kuna benz ya bei chee inaku offer the same au inakimbia zaidi ya RR We kama...
  4. mutu murefu

    Taja jina la nchi isiyokuwa na Herufi "A"

    1. Belgium 2. Belgium 3. Belize 4. Benin 5. Brunei 6. Burundi 7. Comoros 8. Republic of the Congo 9. Cyprus 10. Côte d’Ivoire 11. Djibouti 12. Dominica 13. Fiji 14. Greece 15. Lesotho 16...
  5. mutu murefu

    Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Hongera sana mkuu, nina imagine furaha yako. Mie nna mapacha wa kiume wana miezi miwili sasa. John and Joseph. Niite Baba joo
  6. mutu murefu

    Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

    Anataka mwakank wasimkate jina, kwa bahati mbaya atakatwa tu😂😂😂
  7. mutu murefu

    Nilimshirikisha mama yangu mafanikio yangu nikadhani amefurahi, baada ya muda kila nikiwasiliana naye ananiambia isijekuwa naenda kwa waganga

    Mpaka sasa sjaona mkeka wa muhindi. So kuna mawili 1. Story ni chai 2. Wewe ni mchawi kweli
  8. mutu murefu

    Zama za kujiongeza zimeshapitwa na wakati

    Acha kula ugali wa mama dogo. Ondoka hapo kajitegemee
  9. mutu murefu

    Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

    Basi na aliejinyonga Nae ni mbwa mwitu katika ngozi ya Kondoo,
  10. mutu murefu

    Kuishi Dar ni ndoto ya Kila Mtanzania Kijana

    Hivi miaka 29 ni mzee? Maana sina ndoto za vijana za kuishi dar
  11. mutu murefu

    Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

    Hakuna cha pepo kuvamiwa wala nini. Nao binadamu kama sisi, kama nao huwa wanabaka na kuiba sadaka Ndo iwe ajabu kujiua?
  12. mutu murefu

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    alipoanza kusema tu “vannesa alikua na asili ya kihindi” basi nikajua tu hii ni story ya kutunga
  13. mutu murefu

    Uwezo wa wachezaji wa zamani, sijapata kuona kwa sasa

    Mtoa uzi anaongelea Ronaldo de Lima Watu wanafikiria Ronaldo huyu christiano, wanaleta ligi na messi😂😂 Hii mada ni kwa sisi wahenga tu, watoto wa Jf watupishe sasa
  14. mutu murefu

    Historia ya Tanganyika: Kubali Ukweli Hata Kama Ukweli Unapingwa na Dunia Nzima

    Sasa mzee hapo napata ukakasi umesema walibatizwa na kupewa majina ya kikristo. Sasa kwanini unalalamika watumie majina ya kiislamu wakati walishaukana uislamu wakabatizwa na kuwa wakristo?
  15. mutu murefu

    Sababu za wanawake kugawa tendo ovyo hizi hapa; wanaume chukua tahadhari

    Wanyama nao wanapenda sana sex. Sio ajabu mbwa kugawa mbususu kwa vidume vingi Je ni mapepo?
Back
Top Bottom