Recent content by Mr Spider

  1. Mr Spider

    Msaada: Nilisimamishwa kazini na kuambiwa nitaitwa, zimepita siku 6 na sijui hatma yangu

    Pole sanaa aiseee, duuu! Na hali jinsi ilivyo nimejisikia huruma sana.
  2. Mr Spider

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    Pole sana kwa jweli, ninakuineq huruma kwa namna ulivyoelezea..Mungu akusaidie upate ufumbuzi wa changamoto hiyo
  3. Mr Spider

    Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    Jaribu pia kumuelewesha umuhimu wa kile anachotakiwa kukifanya, hii itamsaidia sana kuzingatia na kuwa makini na kile anachokifanya. Imekuwa ni utamaduni wa familia nyingi kuwakurupusha watoto alfajiri na kuwataka wajiandae wawahi shule. Ni jambo jema lakini ukimuuliza mtoto kwa anaenda shule...
  4. Mr Spider

    Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    Poleni sana kwa maumivu hayo ya ndani, kuna mwanadada mmoja pia yupo mahali anafanya shughuli zake namuona anashida kama hii uliyoielezea kwa kijana wako. Sina uhakika sanaa, lakini ninejaribu kufuatilia historia ya yule dada alilelewa na mama pekee, baba alikumbia akaiacha familia. Sasa...
  5. Mr Spider

    Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

    😊😊😊, kimemaliza form four mwaka jana kinasubiri posts za chuo au advance.
  6. Mr Spider

    Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

    Hapa kwenyewe nipo safarini naelekea mikoa ya kaskazini, seat ya mbele yangu walikuwa wamekaa warembo wawili nilipofuatilia nikaona ni ndugu maana walikuwa wanapiga story sanaa. Yule aliyekaa upande wangu amenivutia sanaa, nimechukua smartphone yangu nikafungua sehemu ya Notes, nikaandika maneno...
  7. Mr Spider

    Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

    Kwanza kiuhalisia wanawake wanapenda kutongozwa, mkiwa ofisi moja na usipokuwa unawatania tania, kuna namna wanajisikia vibaya. Sasa kuanzisha mapenzi kazini ni kitu si salama sana. Lakini kama unataka kufanya hivyo nakushauri usionyeshe u-serious kwenye hilo jambo wewe weka mazoea naye kwa...
  8. Mr Spider

    Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini

    Pole sana kwa kuondokewa na ndugu pamoja na jamaa yako, Mungu akawe mfariji wako mkuu
  9. Mr Spider

    Breakup ya kwanza ilikuaje?

    Duuu! Pole sana mkuu
  10. Mr Spider

    Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

    Hili limeshaanza kufanyiwa kazi taratibu. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  11. Mr Spider

    Niliyoshuhudia leo, kama sio lazima usipande bodaboda

    Pole sanaa mkuu!! Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  12. Mr Spider

    Sikuwa najua kama Tanzania ina kabila la Wahima, Karagwe Kagera!

    Watakua wapo vizuri sanaaaa. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom