Recent content by mliberali

  1. M

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Cha kushangaza wameyakalia maandiko bila ya kuyaelewa mpaka watafsitiwe na wayunani
  2. M

    Dkt Mwigullu: Matajiri walipe Kodi Maskini wapate Huduma, sitawavumilia Matajiri Wakwepa Kodi!

    Anachekesha huyu na mibendera yake . Tatizo ni ni mifumo mibovu ataiindoaje inahitaji sera, Labda nikuulize ukimfuata mfanyabiashara kumdaii Kodi akakuonyesha kimemo Cha Abdul utafanya Nini? Au ukienda kumdai mfanyabiashara Kodi akakuonyesha risiti ya kuchangia chama hela nyingi zaidi ya ya...
  3. M

    Tundu Lissu toa ushauri kusaidia Nchi ishinde kesi kimataifa na kufufua shirika la ndege

    Mikataba Ile ya ufisadi hata bunge halijawahi Iona sasa lissu atashauri bila kuiona?
  4. M

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    Una bandari unaweza pata mapato ya kutosha kuendesha nchi ikiwa utaweka usimamizi mzuri badala Yake unakimbilia Korea kuomba mkopo wa riba kubwa hizi ndo akili za ma ccm
  5. M

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    Akina abdul wanakula nchi mpaka iiishe kabisa waende zao Oman
  6. M

    Tuliokuwa tunajua kutumia computer kabla ya Windows XP tukutane hapa, Hofu ya Y2K n.k

    Wakati huo nilikuwa nnaadiks report kubwa nilikuwa na floppy disc 32
  7. M

    Tuliokuwa tunajua kutumia computer kabla ya Windows XP tukutane hapa, Hofu ya Y2K n.k

    Y2k illuwa ni scam ya watu Wachache wajuvi wa computer wa wakati huo walipiga hela nyingi, na aasisi za serikali zilipanic
  8. M

    Tuliokuwa tunajua kutumia computer kabla ya Windows XP tukutane hapa, Hofu ya Y2K n.k

    Mkuu acha tu Nakumbuka mwanatarabu Hadija Kopa na wimbo wake wa y2k
  9. M

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    Ccm wametuletea shida ingine Sasa ufisadi unapigwa kwa zamu kwa zamu, ukiristo vs uislam Hivi sasa hamtakiwi kuhoji ufisadi ni zamu yetu kwa kuwa zamu yenu tulikaa kimya Hizi dini hopless kabisa
  10. M

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    unaishi nchi gani dogo, Kuna watu wameuwawa Kuna watu ni vilema , Kuna watu ni wakimbizi, kwa kupinga uwekezaji unaodai ni wa wazungu, mtu mwenye akili timamu anapinga uovu bila kuangalia umefanywa na nani? Madhara ya kuwakaribisha wazungu ni sawa na kuwakadrbisha waarabu wote wanyonyaji tu...
  11. M

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    Kwa hiyo wako tayari Kubongoa mwarabu achomekee... Lissue anachechemea kwa sababu alipinga ubabaishaji wa magufuli na wazungu wake hayo hawaoni
  12. M

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    Sisi wengine tungekuwa watumishi wa umma tungeishafukiuzwa kazi siku nyingi, hakunaga kumyenyekea mpumbavu. Watz wagonjwa sana Habari muhimu kama hizi huwezi ona zikijadiliwa na media house yoyote Hata magroup ya wasap ni nadra kuona mjadala kama huu
Back
Top Bottom