Recent content by mkweli muaminifu

  1. mkweli muaminifu

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    Ujatak kujua Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mkweli muaminifu

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    ahsante mtoa uzi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mkweli muaminifu

    Mliowahi kubadili kazi, naombeni ushaur!!!!

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  4. mkweli muaminifu

    Wale waombaji wa Vyuo mwaka 2018/2019 karibuni hapa

    Msaada tafadhali nimeingia NACTE nimekuta categories hzo mbili kwa hyo wale wanaotaka kusoma mathalani (IT,CST,TEL,CIV n.k) wana apply wap?
  5. mkweli muaminifu

    Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

    Mkuu hapo umenena hatari nyengine hpo huku chini kwetu wanaosoma sayansi mwaka huu lazima uwe na division two ya point 20 kama una 21 hata kama umefaulu sana sayansi ila art patakuhusu , se....kali hii haijamwacha MTU salama yani tuna pata tabu sana
  6. mkweli muaminifu

    Ufafanuzi wa kozi hizi za technology

    Ipo hivi yani Phy-D Mathe-C English-C
  7. mkweli muaminifu

    Waliopangiwa shule wanaweza kubadili kwenda vyuo vya ufundi

    Nmepangiwa shule ila sitaki nataka kwenda chuo
  8. mkweli muaminifu

    Wale waombaji wa Vyuo mwaka 2018/2019 karibuni hapa

    Mkuu naomba unisaidie kuuliza uwezekano huo mambo kwangu magumu wazazi wanataka nikaripoti nkasome HKL kisa huku ada kubwa ila ni natumaini yangu Kama utapangiwa na serikali haulipi ada kubwa
  9. mkweli muaminifu

    Waliopangiwa shule wanaweza kubadili kwenda vyuo vya ufundi

    Wakuu naombeni munijuze je kuna uwezekano kwa walioangiwa shule kubadili kwenda vyuo vya ufundi kama ''YES'' je unafanyaje
  10. mkweli muaminifu

    Wale waombaji wa Vyuo mwaka 2018/2019 karibuni hapa

    Mkuu Mimi nilipendelea kusoma course hizi je pesa Yake ipo je?
  11. mkweli muaminifu

    Wale waombaji wa Vyuo mwaka 2018/2019 karibuni hapa

    Samahanini kwa kudandia ila jamani mwenzenu ninashinda siku ya pili Leo naangaika kutafuta msaada humu sijapata wa kujitosheleza Tatizo langu lipo hivi nimechaguliwa kidato cha tano bagamoyo secondary mwaka huu ila kombi ya HKL na Kubadili mwaka huu TAMISEMI wamepandisha vigezo kwa masomo ya...
  12. mkweli muaminifu

    Ufafanuzi wa kozi hizi za technology

    Habari zenu wakuu. Naombeni msaada wa ufafanuzi wa kozi hizi kwa ngazi ya cheti na diploma unatakiwa ufaulu nini na nini kwa mwanafunzi wa O-level 1.Computing and information communication technology 2.computing and information technology 3.information technology 4.information communication...
  13. mkweli muaminifu

    News Alert: Wale muliopitia D.I.T naombeni msaada wenu

    Habari wana Jf natumaini ni wazima wa afya , samahani ndugu zangu kama kuna MTU ana ufahamu vizuri na kozi hizi naomba anifafanulie vigezo vya kusoma kozi hizi kwa ngazi ya cheti au diploma 1.computing and information communication technology 2.computer sciences 3.computer engineering...
Back
Top Bottom