Ayatollah ni kiongozi mkuu, kama alivyokuwa
Mkuu mbona umechafukwa hivi,
Hao jamaa ni wazembe sana,
kuna mdau humu amesema hiyo chopa hata Nape asingekubali kuipanda,
Tanganyika ilipoteza kiti UN, pia imepoteza jina sasa wanaiita Tanzania Bara,
Wengine wanakwambia Tanganyika imevaa koti la muungano eti ndio Tanzania,
Bila internet ya mabeberu, hamna cha Lumumba Wala Ufipa,
Hata luku hatutanunua,
Atatokea mlevi mmoja na shati lake la kijani, anaimba sisi ni nchi huru hatutishwi na mabeberu,
Kwa hiyo Tulia hatoshi kujenga hiyo Mbeya yenu Hadi aje Sugu?
Siasa za kilaghai zimepitwa na wakati, jibuni hoja za Lissu,
Mtasubiri sana kuna CDM ikigawanyika,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.