Nitakula bata kadiri niwezavyo, na siku ijapofika inikute nikiwa batani, privately, nyumbani, na watu wangu ninaowapenda, na kila aina ya shangwe...
#Masambewena
Michezo fulani imekaa kitamaduni zaidi na inawabeba kweli akina fulani. Wala sio ishu sana kukosa medali, muhimu ni kutengeza 'industry' imara hapa nyumbani
Hakuna mahali nilikotaja ukahaba mimi, kwa kuwa najua ni brand tu hiyo... Watu tushazushiwa mengi mitaana hadi level za familia. Kama una la kupinga pinga hoja za post ya kwanza; mfano niambie kuwa Wema hajawahi kushinda Taji la Miss Tanzania, hamiliki moja ya kampuni chache za filamu na...
Aisee ningekuwa mwanaume ningemweka ndani huyu bibie. Anafaa kuwa mke ndio, tena mwema, fighter na anayejua kucheza na akili za watu...
Mengine ni maneno ya magazeti ambayo hata kama yangekuandama wewe ungeonekana kituko.
Kwa mujibu wako. Mimi nawajua viongozi wa makahaba ambao ni wakuu wa mashirika ya Umma na wanasiasa wakubwa, bila kusahau mashoga. Madam Wema Sepetu ni mwanamke jasiri, malkia wa nguvu... Kila sekta ana mafanikio, hadi siasa ambayo amethubutu kugombea Ubunge wakati akina nyie mkibwabwaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.