Mwambie Mwamvuli wako haukunjuki ila umeenda Kwa doctor amekupa tiba unataka kujaribu kwake kama umepona
Mbona EASY tu anakutunuku Kijana acha woga 😂😂😂😂😂
Kwenye ushauri uliopatiwa kuhusu aina za milo uliyoambiwa, kunywa maji mengi na mengineyo
NYONGEZA: Kulingana na kazi yako ni ya kukaa kwa muda mrefu ongezea kufanya MAZOEZI kila siku at least 30 minutes
"Enyi wanaume wapendeni wake zenu na wanawake watiini waume zenu"
Jukumu la kupenda sio lao wanawake
Kitendo cha kuwepo home na kutekeleza matakwa ya waume zao (Kuwatii) wamemaliza jukumu la msingi.
Kwahyo usiwabebeshe jukumu lisilo lao
Watu weusi tutafika mbinguni tukiwa tumechoka mno
Tumesota kwa wazee wetu maisha magumu tunakula kinachopatikana tukajiapiza tukijitegemea tutakula mapochopocho mara tunakutana na makatazo ya Dkt Janabi, tukiingia msikitini au kanisani makatazo ya sheikh au padri, tumeachana na vyoo vya kulenga...
Haijalishi utaajiri ndugu au mtu baki unachotakiwa kwanza andaa system nzuri ya utendaji kazi kama vile ripoti ya mauzo, mapato na matumizi n.k ili yeyote atakayekuja kufanya biashara afuate tofauti na hapo utalalamika kuibiwa kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.