Recent content by Marybea

  1. M

    Natafuta lodge au hoteli nzuri ya kukaa na familia Bagamoyo kwa wiki moja

    Cheki familycottage ni pazuri pametulia wacheki insta wakupe package zao ila room per day ni kuanzia 200k
  2. M

    Natumia Biblia kutatua changamoto

    This is true,Mimi siku ninazokomaa kuomba non stop rohoni huwa najibiwa siku hio hio Asante kwa kunikumbusha niache uvivu
  3. M

    Natumia Biblia kutatua changamoto

    Nahitaji ya kusamehe na kuwa na amani
  4. M

    Usikurupuke kuoa Mbeya kama wewe nyoronyoro mtoto wa mama

    Mimi huyu tenende moja[emoji28][emoji28][emoji28] Mmakonde wangu apewe kiti moja kwa moja peponi
  5. M

    Nimefika 'Daslam' mji unanuka na hewa nzito, Feri watu wanakimbia kimbia tu!

    Badamu batamwagika Sisi watu wa dar tuna enjoy anakuja wa mkoa na hasira zake kutusimanga haikubaliki[emoji51][emoji51]
  6. M

    Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

    Kuna mjeda cheo kikubwa tu kanitapeli hivi pale upanga panaingilika nikapate details zake vizuri?
  7. M

    Sifa za husband material

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]its funny hii post imefanya nione huyu mume nilienae sio hubby material kabisa duh,kumbe kuna wanaume TZ hii wana sifa zote hizo aloo
  8. M

    Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

    Una roho nzuri,Mungu asikupungukie Mkono utoao hupokea zaidi[emoji1488]
  9. M

    Moon Eclipse: Mkesha wa Full 🌕 Moon na Miujiza Yake, Karibu

    Aloo kwaio sisi simba awamu hii umoo dewji nje nje[emoji2][emoji2][emoji2]
  10. M

    Mtoto Warda apatikana kwenye Kijiji cha chamanzi, Dar es Salaam

    Hili nalo neno kuntu,imagine mtoto anarubuniwa kwa vichips kuku karne hii Maisha duni yanafanya watoto wakiyumbishwa kidogo wanajaa wakidhani kuna afadhali
  11. M

    Mtoto Warda apatikana kwenye Kijiji cha chamanzi, Dar es Salaam

    Yani inashangaza mimi miaka 12 hata kucheka na mwanaume naogopa lol Bikra zimetolewa 23 huko jamani hawa watoto wa sasa wanakula nini mbona tunaogopa sasa hata kuzaa,watoto wanapenda mb*o kuliko kula khaaa
  12. M

    Mtoto anayeandaliwa kuwa Rais wa JMT mwaka 2050 na jinsi makisio yanavyopishana: Hata hivyo ya Mungu mengi

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  13. M

    Kwa wasiomjua, huyu ndio mtoto pendwa wa Rais mstaafu Benjamin Mkapa

    Watu wasiri huwa wana mambo mengi mengi ya ajabu,heshimu sana watu wasiri
Back
Top Bottom