KABLA YA SIKU YA PENTEKOSTE, WATU WENGINE WALIOKUWA WAKIJAZWA RM WALIKUWA NI MANABII, MIAKUHANI, WAFALME PAMOJA NA WATU MAALUM TU KUOISHANA WALIOKUWA WANAPEWA "SPECIAL ASSIGNMENT" NA MUNGU: KAMA VILE SAMSON MNADHIRI WA MUNGU
KWA HIYO NABII TITO NAYE PIA ALIKUWA ANAFANYA KAZI KWA KUTUMIA...
SEMINA YA ROHO MTAKATIFU (RM) KANISA A MWAKA 2012
UHUSIANO WA SEMINA HIYO NA MATUKIO LUKUKI YA AJABU AJABU YASIYOKUWA NA KICHWA WALA MIGUU NA AMBAYO KARIBIA MARA ZOTE YAMEKUWA YAKIHUSISHA WANAFUNZI
ROHO MTAKATIFU ALIWASHUKIA WANAFUNZI WA YESU SIKU YA PENTEKOSTE
KWA HIYO MATUKIO HAYA YA...
Hii stori inawea kuwa ni ya kutunga, si halisi
Vinginevyo kana ni ya kweli, utakuwa unafanya makosa makubwa sana
Watu wa aina hii wapo wengi tu Marekani na si lazima wawe wametoka Tanzania. Wewe uanchotakiwa kufanya ni kupata details za familia yao huku Tanzania, ili Ubalozi watakapoingia...
UPDATE: TUESDAY, 21st MAY 2024
OMBI LA MHUSIKA KUHUSIANA NA MATUTA MAPYA YENYE MGONGO MKALI MNO, YALIYOWEKWA BARABARANI KWENYE NJIA AMBAYO HUWA ANAPITA ANAPOKUWA ANAENDA AU ANARUDI KUTOKA KAZINI
Mhusika anaomba kama kuna uwezekano, matuta hayo yaongezwe mgongo ili yafanane na matuta mengine...
An external agent lazima itakuwa imefanya kazi
Kutoka kwenye NEWTONS FIRS LAW OF MOTION (Law of Inertia)
INERTIA is the state of REST or of uniform motion in a straight lline, of a body
Sasa NEWTON alishasema hivi:
Every body (object) continues in its state of REST or of uniform MOTION in a...
Teknoloji aliyonayo China inayoweza kumpa challenge USA, ni "Human Resources"
Angalia hapa
Population of China in 2024 The population of China stood at 1.43 billion in January 2024. Data shows that China's population decreased by 356 thousand (-0.02 percent) between early 2023 and the start of...
Asingeweza; hakuwa na mamlaka hayo. Teknik ya hayati JPM ya kuufuta upinzani ilikuwa ni utendaji kazi uliotukuka, uliokuwa unapelekea wapinzani wahame wenyewe kutoka upinzani kurudi CCM
UPDATE: THURSDAY, 16th MAY 2024
KILE AMBACHO HATIMAYE MHUSIKA AMEKIONA KWENYE UTAFITI WAKE AMBAO AMEKUWA AKIUFANYA KUHUSIANA NA STAFF AMBAYE HUWA MARA KWA MARA ANAHAMA OFISINI KWAKE NA KUJA KUKAA KWENYE MEZA YA OM-1
Kwa muda huu, staff huyu amehamia tena kwenye meza ya OM-1, wanakaa wote huku...
B: KUHUSIANA NA UTAFITI WA “TRIGGERS” WA AWALI ULIOTANGULIA HUU WA SASA
TRIGGER ILIYOKUWA IKISABABISHWA NA MTALO WA MUDA ULIOWAHI KUCHIMBWA HIVI KARIBUNI KWENYE JENGO ANALOISHI MHUSIKA NA AMBAO UMEENDELEA KUBAKI HATA BAADA YA KUWA UMEFUKIWA
Takribani mwaka mmoja uliopita, kuna mtalo uliwahi...
UPDATE: MONDAY, 13th MAY 2024
UTAFITI KUHUSIANA NA TRIGGRES OF QUAKES, AMBAO MHUSIKA ALISHAWAHI KUUFANYA, NA AMBAO HIVI KARIBUNI ALIANZA KUUFANYA TENA KWA MARA NYINGINE, BAADA YA KUKUTA GARI LAKE LIMETOLEWA UPEPO KWENYE MOJAWAPO YA MATAIRI, JIONI YA ALHAMIS YA TAREHE 04/04/2024 ALIPOKUWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.