Aliekuwa mchezaji wa simba Abadallah kibaden king ameweka wazi kwenye moja ya gazeti la toleo la leo la mchezo kwamba alipata mke kutkana na mpira,...
akiongea na mwandishi wa habari kibaden anasema walifanikiwa kuifunga timu
ya YANGA magoli 6-0 kipindi akiwa simba baada ya mechi alikutana na...
waheshimiwa kuna mtu ameweka thread yake kulalamika
lowassa amegawa tshirt kanisan na waluther na wakatoliki
kukimbilia kuonyesha njaa zaoa am kufanganyika kwao
Bw UVIVU MWIKO ulitaka agawe CONDOM kanisani???
yawezekana aliombwa kama mgeni rasmi afanye kazi ya kugawa
usimuhukumu maana...
Baada ya kubadili jina na kujiita na Sumry kutoka mohamed trans kuacha usumbufu wa watu na mohamed trans....gazi za sumry zimeanza kuongezeka mpya kila kikucha na hivyo kuhitimisha misemo ya watu kumbe vifo vya mohamed trans vilikuwa kafara...mmoja alisema kila vichwa Vitano vilivyokufa vinatoa...
Kuna wanawake wengine bwana wameolewa lakini mambo yao tofauti utasema wenzangu na mie tunaotafuta kupiga mizinga;utakuta mwanamke kaolewa ana mume mlokole ama ametulia lakini kutwaa akirudi kazini kavua nguo kakimbilia kwe nye bar kupiga umbea na wanwake wengine tena sio wanandoa..acha nasema...
tuombe radhi nchi ya watanzania na si ya mtu binafsi...lowassa anastahili kuwa raisi wetu sijaona kitakachompinga kuelekea urais 2015.....vipingamizi vidogo vidgo hivyo havisumbuui sana...
Mwanamke Anayewatesa Majirani Kwa Kelele za Ngono Atiwa Mbaroni Tena
Tuesday, March 23, 2010 1:52 AM
Mwanamke wa nchini Uingereza ambaye alishawahi kufikishwa mahakamani kutokana na makelele yake ya kimahaba anayoyatoa wakati akifanya mapenzi na mumewe ametiwa tena mbaroni kwa mara nyingine...
Mwanamke Afungwa Jela ya Wanaume Kwa Miezi Sita
Tuesday, March 23, 2010 3:15 AM
Skendo limeikumba kitengo cha kurekebisha tabia cha Afrika Kusini ambapo mwanamke aliyakamatwa kwa makosa ya ujambazi anadaiwa kufungwa kwenye jela ya wanaume kwa kipindi cha miezi sita na kupelekea mwanamke huyo...
Bi. Cynthia Shackelford akiwa na mbwa wakeTuesday, March 23, 2010 2:53 AM
Mwanamke wa nchini Marekani aliyemfikisha mahakamani mwanamke aliyempora mumewe, ameshinda kesi aliyomfungulia mwanamke huyo kwa kumuibia mumewe na atalipwa fidia ya dola milioni 9.Cynthia Shackelford mwenye umri wa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.