Nakumbuka miaka ya nyuma binti akiwekwa mimba anafukuzwa nyumbani. Anaambiwa nenda kaishi kwa huyo aliyekupa mimba. Tena wababa ndiyo walikuwa wakali hivyo binti lazima aende kwa mwanaume aliyempatia mimba wataishi pamoja then mwanaume atafanya utaratibu wa kujitambulisha. Kwa sasa mabinti wengi...
Ndugu atabaki kuwa ndugu tu haijalishi amekutenda vipi. Mwangalie Joseph jinsi alivyofanyiwa fitina na ndugu zake kwenye biblia lakini hakulipa ubaya. Ukiona mtu anakufanyia ubaya wewe samehe maana kuna kitu kikubwa unacho ndiyo maana anakuchukia. Maisha ni mafupi tuishi kwa kuchukuliana na...
Maisha ya kijijini mwanaume na Mwanamke na watoto wanaenda shambani kulima kwa pamoja ili kuweza kupata chakula cha familia. kwa nini Mwanamke asikae ndani tu kungoja aletewe? Wanaume tuamke huu ni unyonyaji wazi wazi.
Maisha ya ndoa unaishi bila uhuru! Ndoa na gereza fulani hivi kwa ME. Unashindwa kuishi kwa kuenjoy. Isitoshe mwishoni muhuni mwenzako analia timing hata uzeeni anakubwaga huku umepoteza resources zako zote.
Nenda Biblia history ya Yusuph(Joseph) na nduguze mpk mwisho kuna kitu utajifunza. Ndugu atabaki kuwa ndugu tu huwezi kutenganishwa naye. Nafsi ya Yusuph ililia sana kwa uchungu. Kama unaweza kulia lia sana ondoa uchungu kisha wakumbatie nduguze. Mungu amekuinua ili wao wajifunze kwako. Maisha...
Umenikumbusha mbali. Nilikuwa na girlfriend mmoja feminist mno. Kubembeleza sana nimuoe,,, nikafikiria nikaona huyu atanisumbua kwenye ndoa. Nikapiga chini. Mpk sasa hajaolewa watu wanakula na kusepa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.