Recent content by machiaveli

  1. machiaveli

    Kufanyia vikao vya sherehe na misiba kwenye bar nini sababu?

    Bar ndio pametulia mnanunua vinywaji vyenu mnaendelea na kikao, nyumbani ni kukodisha maviti,Kuna wanaokunywa pombe Kuna watoto,wapangaji,wageni wa kushtukiza usumbufu ni mwingi na mtashindwa kuendesha kikao kwa utulivu
  2. machiaveli

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Milioni 1 na nusu ni parefu kwa mwezi,ila kama unachangamsha genge Haina shida
  3. machiaveli

    Tuliokuwa tunajua kutumia computer kabla ya Windows XP tukutane hapa, Hofu ya Y2K n.k

    2002 huko nikacheza magemu na kuangalia ma worldsex kwenye ma internet cafe nikiwa form 2
  4. machiaveli

    Msaada wa haraka unahitajika

    Kama ameiba Hadi vyeti hapo ni kumtafuta,ila kama ni manguo temana nae Mimi binafsi hata mtu akivaa nguo yangu sivai kamwe
  5. machiaveli

    Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

    Ndio hivyo mkuu ila Mimi nimesema kile ni kipendacho,hayo mengine siyajui ila pia Asante kwa comment yako!
  6. machiaveli

    Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

    Samaki wa baharini huwa siwapendi Mimi ukinipa samaki wa maji baridi sato ama perege! Naona wako poa
  7. machiaveli

    Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

    Vizinga vya jero jero Kila siku za kahawa na buku za kucheki mpira usipompa vituko haviishi! Nikajisogeza kwangu japo nilikua sijamalizia ujenzi nikaweka maboksi dirishani nikatulia zangu nikimalizia mdo mdo
  8. machiaveli

    Upendo peneza ameachika ila hamsahau Mume[CHADEMA]?

    Nivizuri kama ameolewa akae na bwanaake kama ajaolewa atafute mchumba! Anakuja race sana
  9. machiaveli

    Mambo gani ungependa yabadilishwe/yabadilike kwenye dini/imani yako?

    Ifike mahali mapadre turuhusiwe kuwa na wake na Masuria! Sabuni zinatumaliza
  10. machiaveli

    Yuko wapi mwanadada Jenipher Mgendi?

    Ila kana kisauti kweye niaje niaje bwanaaka atakua anainjoi kiredio mno
  11. machiaveli

    Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo?

    Mi na enjoy muda wangu na wakati wangu huku duniani haijalishi nakula au navaa Nini! Sina time na kujilinganisha na mtu hii inanifanya nisiwe mtu wa kuwazawaza
  12. machiaveli

    Leo nimepigwa na mke wangu wa ndoa, imenisikitisha sana

    Unampa tu talaka anajisepea zake ishu za kupigwa na mwanamke zinaanzaga kimasihara ila mwisho wake ni kuuana
Back
Top Bottom