Recent content by KUTATABHETAKULE

  1. K

    Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

    Enzi zetu zile kwenye kila bajeti lazima Kodi iongezwe kwenye bia, sigara na vitu kama hivyo wenyewe wakiviita vya anasa. Baadae wananchi wakapata ufahamu kuhusu madhara ya pombe na pia tumbaku, wapunguza sana matumizi ya vitu hivyo. Matokeo yake mapato ya Kodi yaliyotokana na vitu hivi...
  2. K

    Ziara ya Ruto nchini Marekani inatufunza kwanini Hayati Magufuli aliamua kuimarisha ATCL

    Kwa kuendeleza, na je kama Rais, hajui kwamba huo ni mtego kwani jamaa wanaweza kumwendea kwa jambo lao fulani na hivyo akawa hana budi kuwalipa fadhila waliyomtendea?
  3. K

    EFF ya Julius Malema imechokwa ghafla dhidi ya uMkhonto we Sizwe ya Zuma, Kulikoni vijana?

    Mleta mada umechukua matokeo ya sehemu moja ukadhani ndivyo yatakuwa kwa sehemu zote. MK Party ni chama ambacho kipo katika misingi ya Ukabila. Chama ambacho kina wafuasi wengi wa Kizulu. Matokeo katika Jimbo la KwaZulu Natal yanaonesha hicho chama kimezoa kura nyingi. Hilo si jambo la...
  4. K

    Mwigulu Nchemba: Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa duniani kwa huduma bora za barabara, maji na umeme

    Tatizo letu tunafurahia Sana uwingi wa vitu pasipo kuangalia ubora wa vitu hivyo. Ni kweli tunazo barabara za lami zinazounganisha sehemu mbalimbali za nchi, lakini je hizo barabara zina ubora unaotakiwa. Nyingi zilijengwa muda mrefu na kwa sasa ni choka mbaya zinahitaji matengenezo. Hatuna...
  5. K

    Ilikuwaje Afisa Ardhi apokee rushwa mbele ya mkuu wa mkoa na Rais Mwinyi

    Sasa nimeelewa. Asante Sana kwa ufafanuzi huu
  6. K

    Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

    Naona mkopo huu ni moja ya mikopo mikubwa sana ambayo nchi hii imewahi kukopa. Hilo la kuambiwa riba nafuu ni kutaka kujifurahisha tu. Riba ya asilimia moja kwa mikopo wa trillion 6 ni Sawa na billion 60. Hapo nimeitoa mfano tu. Ikipendeza tuambiwe hiyo riba nafuu ni kiasi gani.
  7. K

    Ilikuwaje Afisa Ardhi apokee rushwa mbele ya mkuu wa mkoa na Rais Mwinyi

    Je ni kweli alipokea hiyo rushwa mbele ya Rais Mwinyi wakati akiwa hai?
  8. K

    Ilikuwaje Afisa Ardhi apokee rushwa mbele ya mkuu wa mkoa na Rais Mwinyi

    Huyo jamaa alipokea rushwa hiyo mbele ya Rai's Mwinyi na RC wa Mkoa gani na ilikuwa mwaka gani? Tukipata maelezo haya tunaweza kuchangia zaidi kuhusu hili.
  9. K

    David Kafulila anakumbukwa na wakulima wa Simiyu kwa kupaisha bei ya Pamba kufikia Tsh. 2200 kwa kilo katika historia ya Taifa letu alipokuwa RC

    "Anatakiwa Bungeni na pia katika Baraza la Mawaziri lijalo". Hayo ni maneno ya kukampeni kabla ya wakati.
  10. K

    Mikoa ya Mwanza, Iringa, Dodoma, Morogoro na Songea ni babu kubwa na balaa kwa madanguro

    Je VAR watakuwepo kuhakikisha hilo goli ni halali ili litizwe kodi?
  11. K

    David Kafulila anakumbukwa na wakulima wa Simiyu kwa kupaisha bei ya Pamba kufikia Tsh. 2200 kwa kilo katika historia ya Taifa letu alipokuwa RC

    Hata mimi naliona hilo. Kuna kampeni za kuwasifia watu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu mwakani. Hili jambo si sawa. Subirini wakati ukifika anzeni masifu.
  12. K

    Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

    Nionavyo mimi chumba kilijengwa kwanza halafu baadae mwenye nyumba akapunguza ukubwa wa chumba kwa kujenga Choo ndani kwa ndani. Hakukuwa na matayarisho yanayohitajika ili kuzuia harufu kurudi tena chumbani na hivyo balaa likaanzia hapo.
Back
Top Bottom