I think the problem comes from way long during staff recruitment process for most of public entities, most are GPA au kamlete/vimemo based recruitment and while disregard TALENT based recruitment, unaanzisha vipi huduma za ndege karne hii huna digital platforms za kukupatia wateja na mapato ya...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) Miezi zaidi ya miwili iliyopita,mlikusanya maoni ya sisi Wadau/Wananchi wanyonge kabisa kupitia barua pepe na barua za kawaida juu ya namna ambavyo Makampuni yanayomiliki visimbusi vya Zuku,Azam na Dstv yalivyokuwa yanatutoza tozo za kila mwezi kwenye...
Kuna mnyama anaitwa Technics alikuwepo home miaka ya 2000 huko, ni hatari kwa Hi-Fi. umeme wa dowans na richmond ulituulia mnyama wetu mpaka leo sijawahi ona madukani bongo. Yaani kila mziki unaona mzuri tu hadi bolingo dadek.
KISIWA CHA MAFIA: NAMBA SITA DUNIANI, NAMBA MBILI AFRIKA.
Na Juma Salum
Licha ya kasoro zao ambazo kila jamii ina za kwake, kuna jambo moja zuri binafsi nalipenda kuhusu ndugu zetu wachaga toka mkoa wa Kilimanjaro, sio kiwango cha utajiri wao, si idadi kubwa ya shule, sio kina Manka wala si...
KAMISHENI INAPUNGUA KWA MAWAKALA, leseni watalipa na nini? au ukilipa leseni pesa haifiki hazina? Ku-centralize si vibaya sasa kwasababu inakua chini ya serikali basi mawakala ambao wengi ni Wananchi Wa Hali Ya Chini wangeangaliwa kwa jicho la tatu, unapowakaba then unakaba income hadi ya mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.