Naombeni kujua shida nini, gari kama hiyo inapoteza nguvu. ukiwa kwenye mwendo ghafla unakutana na hali ya gari kukosa nguvu mfano wa kuzibwa pumzi au wewe unakanyaga mafuta na mwingine anakanyaga break.
naomba kujua inasababishwa na nini na utatuzi wake ni nini?
Gari ni Nissan HardBody
Engine...
Mkuu hili bandiko limekaa vyema. Kujitambua ni jambo jema sana katika maisha haya tunayoishi.
Niongezee kidogo.
MIT. 1:7 SUV
Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
SUV: Swahili Union Version
kwa lugha ile ya Bibi inasema hivi.
Proverbs 1:7 King James...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.