Recent content by kinyongamweupe

  1. kinyongamweupe

    Msaada, ipi dawa nzuri ya kuua na kumaliza kabisa uwepo wa mazalia ya mdudu mende

    Kadhalika dawa ya rungu ya kupuliza ipo kwenye kopo ujazo mkubwa na ndogo ni nzuri sana kwa kuua wadudu wanao tambaa na wanao ruka. Hii haiitaji kuchanywa na chochote. Uliipata funga madirisha na mlango puliza kiasi toka nje baada ya muda wa saa moja hivi utakuta mbu, mende na wengine wamezagaa...
  2. kinyongamweupe

    Vigezo vya kufungua pharmacy

    Pharmacy ya jumla na rejareja Naomba kuuliza kwa mwaka 2024 makadilio ya kufungua duka la dawa la jumla na rejareja inaweza kugharimu sh ngapi?
  3. kinyongamweupe

    Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

    Ndugu soma alama za nyakati, Israel kama nchi huwezi kuita taifa la Mungu, kumbuka nchi hiyo inatawaliwa na Wazayuni ambao itikadi Yao ni tofauti na Wayahudi wengine, Wazayuni wameanzisha sheria nyingi kupiga marufuku hata kumtaja Yesu Masihi katika nchi hiyo, pia wanaeleza wazi kuwa Yesu ni...
  4. kinyongamweupe

    Hello all JF members and users.

    Mgeni huwa mgeni siku tatu tu, siku ya nne mpe jembe akalime.
  5. kinyongamweupe

    Wanajamii, ukaribisho wa member mpya

    Napenda kumchukua fursa hii kujitambukisha kwenu Wanajamii kwamba nami nimejiunga katika jukwaa hili kubwa la maarifa, elimu na kifikra.
  6. kinyongamweupe

    Tathmini: Sherehe za Christmas 2023 zadorola kuliko mwaka wowote. Wananchi wakabiliwa na dhiki kubwa, haijawahi kutokea

    N ngumu kupata pesa bila kufanya kazi. Tunapotaka wananchi wapate pesa ni muhimu pia kuwakumbusha kufanya kazi hasa msimu kama huu wa mvua zinanyesha. Nchi itajengwa na wananchi wenyewe.
  7. kinyongamweupe

    PAPA awasaidia WAAFRIKA kuelewa umuhimu wa kurejea kwenye MILA zao i.e DINI

    Mungu wa Waafrika naitwa nani? Nabii wake ni nani, naomba uelezi mfumo wa ibada aliouasisi Mungu wa Waafrika.
  8. kinyongamweupe

    Wanaume walipwe zaidi kuliko wanawake kazini

    Mkuu hoja yako inanikumbusha siku Moja nilikuwa napita sehemu wanapojenga mafundi, mara wakakatisha mabinti watatu wanao saidia kugawa vinywaji baa, maarifu kama barmedi. Wale vijana wakaanza kuimba "Bora nijipende mwenyewe, bora nimpende mama yangu" sijui msanii gani ameimba mwimbo huo. Wale...
  9. kinyongamweupe

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Ukristo sio dini kwa maana ya mfumo alioufundisha Yesu. Yesu mwenyewe hakuwa Mkristo, neno Masihi lililo tafsiriwa na Wagiriki Wazungu na kulipa jina Kristo ambalo wanafunzi wa Yesu walipofika Antokia, Uturuki ya leo walitaniwa kwa kufanyiwa mzaha na Wagiriki haohao kwamba hawa ni Wakristo...
  10. kinyongamweupe

    Baraza la Maaskofu Katoliki Malawi lazuia maelekezo ya Vatican

    Shetani ni msomi tena ni mwanazuoni mkubwa tofauti na tunavyoweza kufikiri, siku zote hufanya mambo yake kwa umakini mkubwa. Kazi anayofanya ni kuwapambia wanaadamu mambo yote ambayo Mungu ameyakataza. Kazi hiyo imekuwa rahisi sana kwake baada ya kupata mawakala freemason walioenea ulimwenguni...
  11. kinyongamweupe

    Mizimu ni nini?

    Mizimu ni wafu wa familia yako waliofariki zamani. Mizimu ni tofauti na Pepo au shetani. Ipo imani kwamba mtu anapofariki kinachokufa ni mwili, ila roho au nafsi huendelea kuishi. Nafsi hiyo inapokufuata kwa kiswahili tunasema umefuatwa na mzimu. Iwapo mzimu ni wa heri unaweza kufanikiwa katika...
  12. kinyongamweupe

    Yemen wamjibu Netanyahu kuwa ipo tayari kwa vita na Israel na Marekani

    Dunia imewauza WAPALESTINA? Kuna Siri kubwa sana IPO kati ya mzozo huo uliodumu kwa miaka 77 sasa. Nchi za magharibi hasa Marekani na Uingereza wanaifaidika au wametega jambo ili waje wafaidike baadaye kutokana uungaji mkono wa hali na mali kwa Israel, wanaowakolini Wapalestina. Gqza eneo dogo...
  13. kinyongamweupe

    Nazidi kupunguza mapenzi kwa mke wangu, naanza kufikiria kumuacha

    Simu ni mkombozi kwa kurahisisha mawasikiano. Lakini simu imekuwa sumu Kali mno. Simu imerahisisha watu kutibiwa na wengine kuuawa. Simu imerahisisha watu wengi kutajirisha kwa kufanya biashara na wengine wamefirisika. Nakushauri fanya subira usifanye haraka kumuacha, hasa kwa kuzingatia...
  14. kinyongamweupe

    Makamu wa Rais anaeweza kukaa nje ya nchi kwa mwezi mmoja kwa shughuli maalamu?

    Makamu wa Rais kazi yake ni kumsaidia Rais, nikijibu swali lako Makamu wa Rais anaweza kukaa nje ya nchi hata zaidi ya mwezi, kwa sababu yeye ni msaidizi tu, hasa Rais anapokuwa hayupo nchini au anadharula nyingine ya kikazi au kibinaadamu. Utaona kazi zote ni za Rais, Makamu ni msaidizi hivyo...
  15. kinyongamweupe

    Ijue Sheria ya Uchawi Tanzania

    Ni ukweli uliowazi kuwa uchawi ni zao la shetani, na mchawi hawezi kufanikiwa katika kazi yake ya uchawi mpaka kwanza ajisogeze vya kutosha kwa shetani. Iwapo atajisogeza kwa kumfurahisha, shetani naye atakutimizia anayotaka kupitia uchawi. Lakini ni lazima ukumbuke kuwa utakuwa umetangaza vita...
Back
Top Bottom