Wasamii hawana ubunifu walianza kuanika miili waziwazi, wameona hiyo mbinu imechacha, wakaposti video za pono na sasa ni kutukana.
Ikiwa kama anasaidia kampeni za chama unaweza achwa
Ndio maana wazee waliwachagulia vijana wao wenza.
Demokrasia (uhuru wa kuchagua) ni utaratibu mzuri ila unahitaji jamii iliyostaarabika vilivyo - yenye akili na nidhamu.
Na utafiti ukifanywa naamini utabainisha wazi kuwa Elimu ni miongoni mwa visababishi vikuu vya msongo wa mawazo Kwa wazazi/walezi na wahitimu/wanafunzi.
Kupunguza gharama za umeme, na uhakika wa kupatikana pia itakuwa mkakati mzuri.
Pia serikali iwezeshe upatikanaji wa betri bora za sola na kwa gharama nafuu.
Kwenye maelezo ni rahisi kutumia biogas, Ila kiutendaji si rahisi. Ukisikia mtu anatamani kutumia kitu flani na akashindwa, ujue kuna ugumu. Hakuna mtu mwenye akili timamu asiyeoenda mambo mazuri na rahisi.
Nashukuru kwa michango yote chanya iliyotolewa.
Kwa 'upepo wa sera' ulivyo, lengo kuu ni kuwahakikishia 'big boys' wa gesi asilia soko la uhakika kupitia ruzuku.
Si rahisi sana kuwagomea 'big boys' kwa kuwa wana ubavu wa kuamua nani ashike nafasi za juu za uongozi.
Kanuni na sheria zote hufungwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.