Nakala ngumu (hard copy) tutawaziwasilisha katika ofisi yako ndani ya juma hili tunaloanza nalo tukiambanisha picha na vyote vinavyotakiwa. Vijana wameanza kufanya kazi kuanzia muda huu.
Lengo hasa ni kuwawezesha vijana kufikia malengo yao na kutimiza ndoto zao. Hivyo shirika linahitaji fedha kwa ajili ya shughuli zake za kila siku na kuweza kulipa posho pamoja na mishahara. Fedha zote zitumwe kwenye akaunti namba 20310100546.
Hivyo basi natangaza rasmi uzinduzi wa shirika hili jipya linaloitwa BIRDS MUSIC CORPORATION (BMC). Hili ni shirika lililojikita katika uzalishaji wa kazi za muziki. Tutakua na wasanii wakubwa wenye majina na tutakua na wasanii wadogo wanaochipukia.
Uchaguzi umekwisha salama na washindi wamepatikana. Tumepata waheshimiwa wabunge wapya. Pia nimeteua maafisa wengine watakaonisaidia katika shughuli mbalimbali. Sambamba na hilo nimeteua wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapya watakaoniasaidia maeneo mbalimbali ya kiutawala.
Kuhusu wakubwa na wadogo kuanzia kesho mtaanza kuomba ajira upya kwang mimi. Njo na karatasi iliyoandikwa taarifa zako kamil. utaandika majina yako yote matatu. Mwaka ulozaliwa. Kazi unayofanya hiv sasa au taaluma ulobobea. Baada ya hapo utaweka namba ya simu ya kawaida na utanipa ya wasap. Na...
Kuanzia hiv sasa nimetengua ajira zote zilizotangulia kabla. Tutaanza kuajiri upya kuanzia kesho. Tutateua muhasib na hakimu. Na wabunge watatangazwa kesho hiyohiyo. Na wao pia mchakato wao utaanza upya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.