Recent content by Kete Ngumu

  1. Kete Ngumu

    Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

    Nyie andikeni kishabiki kama gaza haijabakia makumbusho. Taifa pekee lililojitolea kuitetea gaza kwa kuifungulia kesi Israel ni Afrika Kusini peke yake mpaka sasa, hakuna Muarabu yoyote aliethubutu kufunua pua.
  2. Kete Ngumu

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    Mbona kama kuna kaukweli hivi? Kwanini umeshindwa kumpata huyu mtu unayemhitaji ktk mazingira yako unayoishi au kufanyia kazi? Kwanini unataka mtu asiefahamu mazingira yako unayoishi au kufanyia kazi? Kwanini ni kuzaa tu na sio ndoa? Kwanini unafikiri mtoto ni faraja kinakusibu nini moyoni...
  3. Kete Ngumu

    Watanzania wakiwa Gaza wakipika chakula na kugawa

    Naona kila Taifa, taasisi watu binafsi wanajifichia hapo kwenye wanawake wazee na watoto, hao mnaojifichia hapo na kutaka kupata kura za turufu za huruma waambieni wasiwafiche magaidi pamoja nao vinginevyo wataisha, wakumbuke vita havina macho, bomu sio risasi usema itamchagua mhusika tu.
  4. Kete Ngumu

    DOKEZO Mitaa ya Daraja Mbili - Arusha kuna uhalifu kiasi kwamba hata Sungusungu nao wanaogopa kulinda

    Hiyo daraja mbili ni kaeneo ka uhalifu wa kutisha tangu tanganganyika iumbwe, hata ikitokea kuna wababe wanataka kuitawala nchi upande mmoja naona itaanzia hapo, polisi wenyewe wanaogopa, wakipita ni wanapita juu ya madifenda hawathubutu kushuka chini wafanya msako wa mbwa kwa mbwa. Kwa sasa...
  5. Kete Ngumu

    Kauli ya Nape ni ya kukosa maarifa, asaidiwe

    Ktk wabunge ambao hawajawahi kulisaidia hili taifa ni huyu mwehu nouwe, ni mouuzi 1 anaejiwazaga yeye mwenyewe kimaslahi na si taifa. Ni jitu linaliwaza uchawa muda wote, hajawahi kuwa na akili au kutoa hoja enye mashiko kwa taifa mkoa wilaya kata kijiji na hata mtaa. Chawa namba 1 bungeni.
  6. Kete Ngumu

    Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

    Mzee siupande yale hufungulia kaswida mwanzo hadi mwisho na mahubiri ya Mtume Muhamadi Muda wote shida nini? We ndio unaleta udini.
  7. Kete Ngumu

    Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

    Unauliza sisi wenye wake wanne au wa mke mmoja? Kuoa mke mmoja ni kujifunga gereza la mateso. Wenzetu Waislam wapewe maua yao.
  8. Kete Ngumu

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    Nyani huwa haoni kirakawe kalioni bali hucheka cha wenziwe. Mkeovunaemuacha nyumbani ni mke wetu mtaani au mke wetu ktk nyumba tuliopanga au ni mke wetu ktk kikazi ulichomfungulia mjini au mtaani popote. Nikwambie tu mwanamke ni yule yule popote alipo hajawahi kumuacha mwanaume salama
  9. Kete Ngumu

    Mke wangu ataja jina la mwanaume mwingine wakati wa tendo la ndoa

    Kiukweli kwa sasa ndoa zina matatizo mengi kuliko mahusiano ya kawaida.
  10. Kete Ngumu

    Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

    Pole mzee baba, ulikosea kumpokea alipoletwa na wazazi, hapa ndipo ulipopigwa. Binafsi yalinikuta japo ni tofauti kidogo, wazazi walinijia juu mbaya kuhusu kumrudisha, mama akatishia hadi kuniachia laana nikamwambia we niachie tu hiyo laana mama haina shida, baba akawa mkali nikamwambia bora...
  11. Kete Ngumu

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Hakuna ujinga kama kujisifu kuchukua mke wa mtu, bado huwajui wanawake hata robo, iko siku utajuta, hawa ni viumbe wasiotafsirika wala kutabirika.
  12. Kete Ngumu

    Wanawake wenye bikra wapo wengi sana zanzibar hata wasomi wa chuo kikuu

    Hawa huwa wanakua wamekufa marinda yote hili liko wazi. Zanzibar mnajitahidi sana kuipromote lakini ndio chimbuko la usenge, chimbuko la vijana ambao shule hakuna kichuani, chimbuko la ujinga mwingi hata wa kudini mfano kumnyima mtu kula hadharani wakati wa Ramadhan, huu ni ujinga.
  13. Kete Ngumu

    Dogo amenikera mpaka nahisi kumchukia mazima

    Unatafuta sababu tu za kumkataa, huna haja ya kuanzia mbali au kuzunguka sana, we mkatae tu yaishe. Hata wewe ukijakuwa na familia hatakuomba msaada pia coz utakuwa na majukumu muhimu, mbona kakujibu poa sana?
  14. Kete Ngumu

    Uchumba wenu ulichukua muda gani Kabla ya ndoa?

    Mwaka na nusu, ndoa miaka 18 tupo ktk steji ya 3 yani tumeachana
  15. Kete Ngumu

    Kardinali Pengo atua ofisini kwa Paul Makonda kumfanyia maombi maalumu ya baraka na kumpongeza kwa uteuzi

    Basi kipindi cha nyuma kidogo nilikuwa nikisikia kardinali nilikuwa natetemeka naheshimu naogopa ila tangu nijue dunia imejaa utapeli mwingi na watu wanatumia dini kujinufaisha nasali kwangu na Mungu wangu.
Back
Top Bottom