Recent content by kenstar

  1. kenstar

    Kuna Siri gani ya Lonely man na Gay Kufanya mambo makubwa.

    Kuwa loney maana yake kuwa concentrated na jambo kuu muhimu,familia haiwezi ikakupa mda wa kufanya utulivu au kuconcetrate na kitu fulani, maana familia au uhusiano ni gharama ya muda na Mali,pia changamoto ni nyingi za kutatua ili familia au uhusiano uwe sawa.Ndo maana matajiri wengi wako...
  2. kenstar

    Je Dr. Shika atakua ameingizwa mkenge staili ya wa Nigeria?

    Asili yake anatokea familia duni,sasa yeye alipata mwanga sasa huwezi jua alipopata akawaona wenzie hawajasoma wako backwards si unajua tena wasoma wa zamani wengi wao,maana hata watoto wake wa Songea na MBEYA hawajijitokeza.Hata mapito aliyopitia yaweza kuwa ni km laana,malipizi,au mafunzo...
  3. kenstar

    ZANU-PF kumfukuza uanachama Robert Gabriel Mugabe kesho tarehe 19.11.2017

    Naona Mzee anataka kupambana na wakati,wakati ni ukuta.
  4. kenstar

    Kila msichana ninaemtongoza ananiomba hela, whats this?

    Mapenzi bila hela ni sawa na chai Bila sukari,labda ungezaliwa miaka ya sitini.Unapiga hesabu ya kuoa,utaweza hudumia kuna saluni,vocha,pocket money,nk.Labda upate bosslady nae atakupiga chini tu,hela ya mwanamke ngumu bwana uliza walioa na wote wanafanya kazi.Ikitoka ni kwa Mkopo au kwa...
  5. kenstar

    Je Dr. Shika atakua ameingizwa mkenge staili ya wa Nigeria?

    Ndugu walimtenga hakuwa na ushirikiano nao.Anasubiria viboko 12 ili akubaliwe kujiunga na ukoo.
  6. kenstar

    Nani alimuua Feed Rwegima muasisi wa RPF -Rwanda?

    Watu wasiojulikana
  7. kenstar

    Kila msichana ninaemtongoza ananiomba hela, whats this?

    Acha kutongoza km wwe ni bahili,Mugabe kahonga hadi nchi,sema wanajeshi tu ndo wamemuwekea kauzibe.Usipojifunza kuhonga utaweza muhudumia ukioa?
  8. kenstar

    Mh. Rais yuko wapi hizi siku mbili sijamsikia tangu nimsikie akiwa Ubungo pale

    Atakuwa amechili mjengoni anasoma tu uzi.
  9. kenstar

    Ni sawa kununua gari ya TZS 15 Million huku ukiwa unaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule?

    Ni sawa sababu ni rahisi sana kumiliki GARI kuliko nyumba
  10. kenstar

    Ama kweli SIASA ni mchezo mchafu! Mgeja wa leo si Mgeja wa jana!

    Naona mmoja baada ya kukosa ubunge EAC karudi kwenda kukatwa mkia
  11. kenstar

    Mali ya billion 3 ukatie bima laki 2,kikwete alisema zakuambiwa changanya na zako

    Bima nyingi huwa gharama yake si kubwa,asipigwa na wazee wa mitandao.Ngoja tusubiri mda.
  12. kenstar

    Kwanini uchimbe mashimo kwa ajili ya Choo?Usichimbe soma hapa

    VIP kwa maeneo ya mabondeni kwenye kujaaa maji
  13. kenstar

    ZANU-PF kumfukuza uanachama Robert Gabriel Mugabe kesho tarehe 19.11.2017

    Ugonjwa wa viongozi wengi kugeuza nchi ni Mali yao binafsi.
  14. kenstar

    ZANU-PF kumfukuza uanachama Robert Gabriel Mugabe kesho tarehe 19.11.2017

    Wakishamfuta uanachama hana chake hana nguvu, waliopigania Uhuru ni wengi kuliko hata kwa kujitoa sema walimpa tu heshima ya kuwa kiongozi lkn si kwamba yeye ndo alielima yeye kapewa tu walioumia ni wengine soma history ya zimb.
Back
Top Bottom