Ukisema conservative naona unawapa sifa ambayo pana mno. Ungesema “wakuda”, hawako informed, hawana upeo wa juu wa mawazo. Ukisema ati siyo flexible hapo napo kidogo unawapa narrow definition. Ungesema hawako liberal - yaani backward mindset, deplorables etc ujue factor kubwa cha wa Tanzania...
Yeye alienda kukopa
Akapewa mkataba akausoma
Akasaini
Alisaini baada ya kujirizisha na mkataba.
Kashindwa kulipa
Nyumba ndiyo ilikuwa rehani
Wakopwshaji wanataka pesa yao
Wanauza nyumba yako (rehani) wanachukua million tatu Yao + riba. Ya juu wanakurudishia.
Kuna tatizo gani hapo? Kama...
Hata aibu mnakosa.
Mlimchapa risasi 38 zikapenya 19, akakimbilia Kenya, mkamfuata mmalize akawatotoka akaenda Ubeligiji, sasa ati baada ya kumshindwa mnaanza ati watoto wake sijui nini eh…
Bibi ushungi wajomba zake wako Uarabuni mbona hamna hofu?
CCM wenyewe wanapondana walituvalisha ngozi! Yaani maRais wa Zanzibar ndiyo waokozi wa nchi hii!! Kamponda Nyerere na kumnukuu hapo hapo. They don’t know what they are talking about
Eti viwanda vyao
Mwingi na Bakhresa ni pete na kidole. National Milling Dar unajua shareholders wake?
Huwezi kuwaita walikuwa wawwkezaji bali walikuwa migrants wa uchumi kama wachuuzi
Grow up bro! Kwa hiyo hujihusishi na siasa una unawaachia hao mbwa wakutawale? Sema tu wewe siyo msomi. Ni msomi uchwala kama huyo unayemtaja.
Humuoni msomi makini Lisu anavyopigania nchi yake? Wasomi wote wangekuwa kama Lisu tungekuwa mbali sana.
Upotoshaji mkubwa, toa reference wapi imeandikwa Nyerere alimfuata Karume kutaka Muungano? Nyie mmekuwa chawa sana sasa.
Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar Karume ndiyo alimtafuta Nyerere kuomba Muungano. Na Karume alitaka Zanzibar uwe mkoa Nyerere alikataa. Sasa nyie waongo chawa mnatoka wapi na...
Na tatizo linguine ambalo CCM inalikabili ni kuendekeza wazee wenye siasa za uzoefu bila elimu na maarifa. Apoongea mCCM utajua tu huyu ni CCM wana ile tabia ya kulinganisha na matatizo ya wengine ili kuhalalisha ya kwao. Halafu wanarukia juu juu, na hawatoi concept kwa nini Sweden au Lesotho...
Kuwa mjinga siyo tusi, “ignorant” yaani “hajui”, kwa hiyo ni mjinga.
Twende nyuma. Rais mshahara Tshs: 35 million kwa mwezi. Anatoa msaada mmjoja 100 millioni! Yaani Tanzania ni nchi among 20 poorest in the world!!! Haaaaaaaa.
Hata Biden hana uwezo huo. Familia ya Biden juzi juzi tu last week...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.