Nakubaliana na wewe 100.Gari ikiwa na bodi nzuri hata kama limepauka.Na chini kukawa poa.Hata kama injini ni mbovu Unanunua mswaki unaweka biashara imeisha.
Mimi siku hizi natafuta mwenye gari iliyokufa injini,nanunua kwa bei nafuu,naenda kuweka mswaki.Biashara imeisha.
Wadau wote mnaotoa michangongo yenu kunisaidia kimawazo mimi Kabwela "Common Man" nawashukuru sana.Ila bado naona kama ushauri wa kitaalam sana sijapata.Ndugu zangu wengine nwanapota tu hapa hata hawatupii chochote.Jamani sadaka siyo mpakanupeleke kwa nabii.Ukitoa mawazo yako hapa ni sadaka...
Wadau, kama nilivyosema hapo juu. Mimi ni kabwela tu hapa mjini "Common Man". Kipato kinategemeana na kupanda na kushuka kwa thamani ya dola. Sasa nimewaza, kutungua kitu show room siwezi. Kumvua mtu bei za Ist, Alex Runx kama zipo juu (Mind you hii ni kutokqna na uwezo wangu, usilete dhihaka...
Mbona youtube ni chuo tosha,labda uwe mvivu.
Kuna watu wanadhani excel unaweza tu kupewa formula za kila kitu alafu ukawa umemaster.Kumbe wangejua,excel ni msitu mzito.Utaelewa upande wa mahitaji yako ya kila siku tu.Mengine hautakuja kuyajua.
Hatabwaliotengeneza wenyewe hawaijui excel yote.Kila...
Wadau poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Napenda kujua,maana mara nyingi escudo zenye shape hii,ona picha huwa ni v 6 cc 1990.Je kuna zenye Cc 1590.
Na je kama watalaam wa magari mnanishauri kununua hiyo,maana ni gari ya zamani sana.Ninahofu upatilkanajinwa spare
Kuwa mmarekani haimanishi woye wana akiki na mawazo sawa.Amerika kuna waislam swafi,pia kuna misikiti ya mashoga,kuna wakristo safi,pia kuna wakristo mashoga,kuna wanaoamini Mungu,kuna wqpaganai,kuna freemasons,kuna wapigania haki za binadamu,kuna makundi ya mamafia.n.k.
Kiufupi hoja yako ni...
Alafu utasikia ohhh sijui Mo na Bakresa ni vichwa vya biashara,wakati ni wanyonyaji wakubwa.Utajiri wao unatokana na dhuluma na jasho jingi sana la walalahoi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.