I wonder. Mie sio mchagga lakini nakerwa na tabia za kuwasimanga wadada wa kichagga, ilhali tabia za namna hio zipo kila kabila. Hio ni character ya mtu mmoja mmoja, hasa kwente tamaa za mali.
Utapuuzaje hoza za kikatiba? Kwamba Mzanzibari anaruhusiwa kumili ardhi bara, ila Mtanganyika haruhusiwi kumili ardhi visiwani, hilo nalo la kupuuuzwa?
Yule UVCCM wa Bukoba anayepanga kuwapoteza wapinzani unamuweka kundi lipi? Sabaya na Makonda ambao nao walisema watamaliza wapinzani nao unawaweka kundi gani ati! Mtu wa Tanganyika hawezi kumiliki ardhi visiwani Zanzibar, ila mtu wa Zanzibar anawexa kumiliki ardhi hapa Tanganyika. Huu sio ubaguzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.