Habari za leo ndugu zangu.
Naomba niende Moja kwa moja kwenye point.
Mimi ni kijana wa miaka 23 na wakati huu ninatafuta kazi yoyote kwaajili ya kujikimu kimaisha.
Nina elimu ya form four na pia nna certificate ya computer science..
Naongea kiswahili na Kingereza fasaha.
Ni dereva nisie na...
Nimekaa sana bila ajira wala mchongo nikaona niingie Jamii forums kidogo nicheki ramani ndio nakutana na hii issue daaah.. Lakini tusikate tamaa tuendelee kupambana tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.