Recent content by holypotato

  1. H

    Tundu Lissu toa ushauri kusaidia Nchi ishinde kesi kimataifa na kufufua shirika la ndege

    Maji yamekuwa ya shingo nini? Wako wapi waliokiwa wanashangilia kununua ndege bila mpango, na wale wa mikataba ya siri? Nafikiri hawezi kutoa ushauri wa kitaalamu bila kuona mkataba na mwenendo wa kesi. Kama kweli utaalamu wa Lissu unahitajika wahusika wanajua jinsi ya kum.engage.
  2. H

    Sheikh asema bima zote ni haramu

    Kwa jinsi nionavyo mimi, ukishajiunga na Bima maana yake umetoa ridhaa haki kutumika kutibia wengine wenye uhitaji kwa wakati huu na wewe ukiwa na uhitaji utatumia za wengine. Ndio basic principal ya Bima ilivyo. Sasa hapo kusema kuwa haki ya mtu imetumiwa bila Ridhaa yake inatoka wapi? Kujiunga...
  3. H

    TAKUKURU njooni Uyui mfuatilie chagamoto zilizopo kwenye ukaguzi wa Majengo

    Sasa kwa nini unataka kazi yako ipokelewe ikiwa na mapungufu (hoja). Haiwezekani kukamilisha majengo hayo bila mapungufu ili usitoe hizo 500k?
  4. H

    Kituo cha Mabasi Mwenge na Stendi ya Mabasi ya Mkoa Arusha

    Acha uzushi ... autocorrect ndio inatoa h kwenye neno hela na kuweka ela? Au kuweka H kwenye neno aibu kuwa haibu? Msitafute visingizio visivyo na maana. Autocorrection inaweka maneno unayoyatumia mara kwa mara au ya lugha husika. Kwa hiyo ubovu unaanza kwa mtumiaji mwenyewe.
  5. H

    Tuzikatae propaganda za wanaccm, wanazodai kuwa watanzania chini ya asilimia 5 ndiyo wanaolipa kodi nchini!

    Kuna kodi za Aina nyingi, nafikiri ilitolengwa hapo ni kodi kwenye kipato cha mtu. Kwa mfano mfanyakazi hukatwa PAYE kwenye mshahara wake kabla hata hajaanza kuutumia na ataendelea kulipa tozo na kodi nyingine atakapokuwa anautumia.. kama VAT, tozo za miamala, n.k. Sasa kwenye kodi ya kipato...
  6. H

    Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

    CCM ndio wameshindwa kushughulikia tatizo hili walilolitengeneza wenyewe. CDM walishalimaliza hili na katibu alishatoa taarifa kwa bunge kuhusu uamuzi wa CDM na mahakama. Kwa mtazamo wangu Spika, Tume na CCM ndio wameshindwa kulimaliza wameamua kufunga macho muda upite.
  7. H

    Kinana, Kama uchaguzi sio tume, basi wapinzani wapewe nafasi ya kuunda tume ya uchaguzi

    Tumemsikia Kinana akisema uchaguzi sio tume, na kwamba hoja ya wapinzani kulilia tume huru haina mashiko. Kama Kinana na CCM wanaamini hivyo, embu wajaribu kuwapa fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi. Kama watakuwa tayari kwa hili tutaamini kauli ya Kinana kuwa uchaguzi sio...
  8. H

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Kuna ujanja unafanyika... huwezi kuwa na kampuni mbili moja unaita The Tanganyika... na nyingine Tanganyika ... na ziwe za mtu mmoja. Kuna ujanja mefanyika kwenye kuweka taarifa. Sujui ndio upigaji unaanzia hapo?
  9. H

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Kamfungulie UTT ... hiyo hela itakua kwa rate nzuri kuliko kwenye bank akaunti. Au kaweke kwenye bonds au nunua shares.
  10. H

    Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi

    Inaelekea unakurupuka, hata hufuatilii haya masuala. Walisema ni mpaka April kupisha mfungo wa Kwaresma na Ramadhan.
  11. H

    Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?

    Wanamsubiri mwenezi aende kutatua tatizo...
  12. H

    VODACOM wamesema, dakika zilizobaki zinapaswa kutumika usiku kuanzia 5.59 mpaka 11.59 Alfajiri

    Ukifuata maelekezo utaelewa... maelezo ya hicho kifurushi ulichonunua yanasemaje? Huwa unapewa dk za kutumia muda wote na dk za ziada kana bonus za kutumia muda huo saa sita usiku mpaka asubuhi... Sasa wewe unaonekana umeshamaliza dk zako za kawaida umebakisha hizo za usiku. Hakuna wizi hapo...
  13. H

    Kinana: Wasimamizi wa Uchaguzi watakuwa Waadilifu na Waaminifu mnataka nini tena?

    Kama Kinana anaona kusema tuu watakuwa waadilifu na waaminifu inatosha, basi Wawahachie wapinzani wawachangue hao wasimamizi waadilifu na waaminifu... CCM wao wasubiri tuu kwamba wapinzani watachangua watu waadilifu na waaminifu. Sijui kama watakuwa tayari kwa hili. Kama hawatakibali basi ajue...
  14. H

    Kinana aitaka chadema kuthamini nia njema ya rais samia katika maridhiano

    Nadhani itakuwa bora hawa makamu wa wenyeviti wakafanya mdahalo live... tueleweshwe ni yapi yalijadiliwa kwenye hayo mazungumzo ya maridhiano na yapi yalikubaliwa na yapi yalikataliwa. Kinana vs Lissu njooni kwenye live mjadala mtuelimishe wananchi
  15. H

    Jambo kubwa Sana limepitishwa bungeni kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi wameuchuna, hawashangilii!

    Ni wananchi gani hao wanaofuatilia hata hilo bunge? Wananchi wako bize na Afcon huko... ya bungeni hata hawajishughulishi nayo...
Back
Top Bottom