Recent content by Helicobacter pylori

  1. Helicobacter pylori

    Riwaya ya Kijasusi Mabaduni wa serikali

    Tushakaa sana jamvini, Leta Chakula ..[emoji39]
  2. Helicobacter pylori

    Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

    Nakubali sana, hata vitabu tunasoma katika shule za sekondari mfano, “Things fall apart, River’s between cha Ngugi wa thiong’ nk”, vinatupa mwangaza vizazi vya sasa kua mizimu ya koo husika ndio ilikua kiungo kati ya MUNGU na wanadamu, itawalinda na waovu. Na jamaa na jamii zilikua katika...
  3. Helicobacter pylori

    Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam

    Hiyo hadhi ndo inafanya asiolewe na Imani Nyingine? Kwa maana Mwanaume hana hadhi ndio maana anaruhusiwa kuoa imani Nyingine?
  4. Helicobacter pylori

    Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam

    Kwa Wengine Dini kwanza Utu Baadae
  5. Helicobacter pylori

    Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam

    Kaka Umesema Vyema, Waliwanyanyasa Babu zetu kwa kila aina ya Ufedhuli na kwa mwamvuli wa Imani (Ukristo na Uislamu). Kama kweli Imani walizozitangaza zilikua na Utu na upendo, kwanini walifanya waliyoyatenda? Na bado kizazi cha sasa kinawashabikia na kiwatetea, Rastafari! Uafrika wetu Wengi...
  6. Helicobacter pylori

    Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam

    Kwanini iwe hivyo kwamba binti wa imani yakiislam haruhusiwi kuolewa na imani tofauti na Uislam ?
  7. Helicobacter pylori

    Mrijuana and Illuminati - The Marijuana Conspiracy

    Herb is the healing of a Nation
  8. Helicobacter pylori

    Msaada: Bata wangu wanakufa, niwapatie dawa gani?

    Kama utaweza wape chanjo ya Kideri/Newcastle wakubwa kwa wadogo
Back
Top Bottom