ukinunua simu kutoka marekani ni maisha hata mjukuu wako atakuja kutumia ni hasara kubwa kununua bidhaa za kichina watu hawaelewi
Mzungu anakutengezea kiatu kiatu kinauzwa laki mbili utakichoka wewe tu chenyewe hakichoki mngao ni ule ule kila ukifua wewe unaenda kununua kiatu Cha mchina elfu 40...
Hata wewe pia inaoneka ni masikini matajiri huwa hawana muda wakuzungumzia maisha ya watu masikini matajiri ni watu wa mipango na kula starehe sijawahi kuona tajiri anajadili maisha ya mtu anayepitia msoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.