Recent content by Fundi wa fundi

  1. Fundi wa fundi

    Waziri aweso abainisha miradi ya maji iliyokamilika na inayoendelea

    Nashauri Wizara ya maji ijitafakari na kuwasimamia wakurugenzi wa halmashauri pamoja na madiwani ambao hawatimizi wajibu wao
  2. Fundi wa fundi

    Waziri aweso abainisha miradi ya maji iliyokamilika na inayoendelea

    Kuna miradi mingi imesimama tena mirafi hiyo inapita wananchi wenye vyanzo vya maji na kupeleka katika marneo mengine ya mbali tena ya mjini na kurukwa wale waliotunza vyanzo miaka na miaka hii ni dhambi kubwa sana
  3. Fundi wa fundi

    KERO Ubovu wa barabara kutoka Mombo kuenda Lushoto

    Kuna shida ya ubovu wa barabara ya kutoka Mombo kwenda Lushoto ina mashimo mashimo na pili hakuna ufuatiliaji wa nauli za bei mfano bei ya kilometa moja ya lami ni shilingi 30-40 lakini wao wanachaji 200 kwa kilometa moja ambao mfano mombo bangala ni km5 bei 1000 Mombo Soni ni km 10-15...
  4. Fundi wa fundi

    Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

    Na hawatakaa waeleweke maana wanazungumza na watu waliowachoka kutoka ndani ya mioyo yao
  5. Fundi wa fundi

    Kijana unaefikiria kuoa ukiwa na miaka 18-26

    Ukitaka wa hivyo umba wako umshushe wengine wasimuone pia wewe unajua ngap
  6. Fundi wa fundi

    CCM itapasuka vipande viwili

    Inawezekana mtulia ni balozi wa nyumba kumi
  7. Fundi wa fundi

    CCM itapasuka vipande viwili

    Mbona mtulia kaingia
  8. Fundi wa fundi

    Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Watanzania wangapi walimkataaa au wewe na shida zako
  9. Fundi wa fundi

    CCM itapasuka vipande viwili

    Mbona Nyarandu alipokuja mlisema huyu ndiye dume mbona wakitoka mnalia Sana vp kunya kanya kuku Bata kaharisha acheni ulimbukeni
  10. Fundi wa fundi

    Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Pamoja na wewe au wewe siyo taifa la Tanzania
Back
Top Bottom