Mm id yangu...haimuhusu yeyote humu jf!!!
It's just....kuna watu waliwahi kunifanyia visa!!
Maisha yangu yakayumba sana......nilipitia nyakati ngumu sana
Sintokaa nikasahau!!
Ilaa baadaye nilihama nikaenda mkoa x
Nkaanza UPYA!!!!
kwahy id yangu...n zawad kwao!!!
And they have to accept it!!
MCHAFU NI MCHAFU TU!!!!
Wapo wadau wengi tu ni mabachela na ..ndani wanako kaa pako VIZURI sana!!!!
Kujitia ubize na UVIVU usiokuwa na maana!!
Ndo maana unakuta wengi wao minyanya inaozea ndani!!
Vikombe viko uvunguni!!!
Chumba ni kama ...dampo limehamia ndani!
Usafi na kujitambua...ni...
Klabu ya Manchester United inafikiria kumpa kazi katika nafasi ya kocha mkuu, mkufunzi wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgates.
Mmiliki mwenza wa klabu hio bwana Jim Ratcliffe, anaamini kocha huyo ndie mbadala sahihi wa mwalimu wa sasa bwana Erik Ten Hag itakapo fika mwishoni mwa msimu...
Polis wa Tanzania ni kama mbw*!!!
Hawajawah kuwa na reasoning
Wao wakisikia " SHIKA/KAMATA HUYO "
Baasi ,,akili zao..zote huwa zinahamia kweny kukamata!!
Baiolojia inasema....
wakati wa tendo la ndoa mwanaume hufanikiwa kumwaga takribani million 200 mpaka 300 ya sperms ndani ya UKE wa mwanamke!
Kisha baada ya hapo Sperms hizo huanza kuogelea kupitia njia iliyo special kuelekea lilipo yai la mwanamke!
Baiolojia inaongezea inasema kwamba
Kati...
Kila mtu ananyota yake kwenye maisha
Sio lazima tupitie formula zilezile watu wote!!!
Kidogo point ulio-ongea hapo
Labda ni kuacha ngono zembe!!!
Kwas'abab hakuna mafanikio bila afya
N:B hayanaga formula
Yash Chopra (marehemu) alikuwa ni moja ya wafanya filamu wakubwa India. Director huyu mzito alifanya filamu nyingi nzuri kupitia kampuni yake, Yash Raj Films, ambayo imekuwa ikitoa filamu kubwa na maarufu nyingi.
Moja kati ya hizo filamu ni DARR (1993), ambayo ilikuwa na Sunny Deol, Sha Rukh...
Sometimes, all you have to do is to believe that one day, all the sadness in your heart will disappear. Just know that it's okay not to be a fighter sometimes.
You don't have to be strong all the time. When nothing seems to give you reasons to be positive in life, you just have to go with the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.