Inakuhusu nini? Nguo yake inanihusu nini? Fanya yako, nifanye yangu na yeye afanye yake. Kam unaweza tembea nchi nzima kamata wanaovaa uchi maana wako wengi
Atalipwa mshahara wa cheo chake ila salary slip yake itaongezeka posho ya taaluma/professional allowance ambayo jumla itaenda mpaka kwenye mshahara wa Engineers hao wengine
Hiyo issue ya kutoa kitu cha kula kwa watoto wa wenzio iliwapeleka jirani mpaka polisi. Mama mtoto nasema jirani yake kawapa uchafu kumbe jirani huyo alisaidia tu.
Mtoa post kasema hao watoto wanagombana mara kwa mara, ina maana walishakanywa, mama yao alishaambiwa ila bado watoto hawasikii...
Kwahiyo mama yao hakuona umuhimu wa msaada wa makonzi anayotoa jamaa? Huyo jamaa angeenda kusaidia pale, mama mtu angesema jamaa ndiye kamchoma mtoto kisu kisa kuna historia ya makonzi kupigwa
Uwanunulie Pipi? Alafu baadaye wakiumwa tumbo mama yao aseme umewalisha uchafu.
Kumbe Baba atakiwi kutoa adhabu? Kumbe Baba akitoa adhabu amazidisha chuki baina ya watoto?
Alafu nature nature nature, hiyo kauli ndipo wanapojificha. Kila binadamu ana wajibu wa kujifunza mambo, kijirekebisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.